Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 983
- 207
Ndugu wadau, samahanini kama nitakuwa nawarejesha kwenye mada ambayo huenda ilishawahi kujadiliwa hapo nyuma bila ya mimi kuiona. Ningependa tu kufahamu, ile kura ya maoni iliyoitishwa kuhusiana na mauaji ya ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi(ALBINO), je matokeo yake yalishatoka? Au yalikuwa yatolewe kwa mfumo gani? Nawaombeni mnijuze tafadhali.