Vikao vya juu vya CCM vinatarajia kusikiliza rufaa mbalimbali za uchaguzi wake wa ndani wa madiwani na wabunge na kutokubadilisha matokeo mengi kama yanavyolalamikiwa.
habari za uhakika zinanasibu kuwa inatarajiwa kuwapitisha washindi wote waliopitishwaa kwenye matawi ili wananchama waweze kuwauungaa mkonooo kwenye uchaguzi mkuu.
Kiongozi mmoja wa juu wa CCM aliwashangaa walalamishi wa matokeo hayoo kusema kuwa rushwaa ilitumika zaidi kwenye kuwapatia washindi nafasi kwani kitendo hicho ni kukichafuaa chama. Amedai kuwa CCM hakuna rushwa ya uchaguzi ila kuna pongezi za ukarimuu kwa wanachama wake katika kushiriki kampeni za mgombea yeyotee...Nimechukizwaa sana na wanaodai kuangishwa kwa rushwaa katika uchaguzii huu wa ndani ya chama. je wangeshinda wao wangelalamika pia?????alidokeza kiongozi huyu.
my take. RUSHWA NI UHAI WA CCM HIVYO MWANACHAMA YEYOTE ANAYELALAMIKIA RUSHWA NDANI YA UCHAGUZI WA CHAMA NI MSALITI
habari za uhakika zinanasibu kuwa inatarajiwa kuwapitisha washindi wote waliopitishwaa kwenye matawi ili wananchama waweze kuwauungaa mkonooo kwenye uchaguzi mkuu.
Kiongozi mmoja wa juu wa CCM aliwashangaa walalamishi wa matokeo hayoo kusema kuwa rushwaa ilitumika zaidi kwenye kuwapatia washindi nafasi kwani kitendo hicho ni kukichafuaa chama. Amedai kuwa CCM hakuna rushwa ya uchaguzi ila kuna pongezi za ukarimuu kwa wanachama wake katika kushiriki kampeni za mgombea yeyotee...Nimechukizwaa sana na wanaodai kuangishwa kwa rushwaa katika uchaguzii huu wa ndani ya chama. je wangeshinda wao wangelalamika pia?????alidokeza kiongozi huyu.
my take. RUSHWA NI UHAI WA CCM HIVYO MWANACHAMA YEYOTE ANAYELALAMIKIA RUSHWA NDANI YA UCHAGUZI WA CHAMA NI MSALITI