Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Huku Musoma Mathayo kachukuwa tena kama amesamama mbali na kuwa na watu tisa kwenye mchakato
Wanahesabia kura Bagamoyo kwa Sheikh Yahaya... .. oooops Kwa Jakaya.
Huku Musoma Mathayo kachukuwa tena kama amesamama mbali na kuwa na watu tisa kwenye mchakato
wakuu hivi dar hakukuwa na kura za maoni leo? Matokeo yake hayasikiki na ndo jiji lenyewe
Mzee Malecela hawezi kushindwa uchaguzi Mtera kwa kura ya maoni....CC na NEC watarudisha jina lake na huyo aliyeshinda kweli jimboni atapozwa na cheo fulani serikalini.
Malecela will go when he is ready!!
Watch this space.
Lakini Tinga tinga si alisema wananchi wa Mtera bado wanamuhitaji?
Heheheheee.....kuanzia kesho hapatakalika hapa....Lol.....
Ninaamini safari hii ukirudi bungeni, utakuwa mkali zaidi kwani utafahamu kuwa Mwakalinga yupo pembeni.
Ila ombea Mungu asihamie CHADEMA maana mpambano utakuwa mkali zaidi na Dr. Slaa akiwa na Mwakalinga.
Hatimaye sasa itakuwa rahisi kumwambia Mwakalinga ahamie CHADEMA.
Yote tisa, kumi ni DR. SLAA FOR PRESIDENT 2010.
Sasa you guys are reading way too much into it...
Mkuu hebu fafanua unamaanisha sauti za umeme au...?
Kwa hiyo Chama Cha Majambazi hakina Democracy? Hata ukishinda utashindwa tu ulegee.
Sasa kama Tinga tinga lishabwagwa Mtera...nani atamrejesha spika Sitta katika kiti chake...?
Mkuu achana na haya mambo ya Mwakalinga.
Mwakyembe hakuwa na upinzani wowote zaidi ya kelele tu za kwenye JF, na ata akihamia Chadema na Dr Slaa ahamie Kyela kwa muda wote wa kampeni bado matokeo hayatakuwa tofauti sana na haya, Mwakyembe anakubalika sana Kyela kuliko unavyodhania.
Mwakalinga ni mtu safi lakini huu haukuwa wakati muafaka kwake kugombea Kyela.
Mkuu achana na haya mambo ya Mwakalinga.
Mwakyembe hakuwa na upinzani wowote zaidi ya kelele tu za kwenye JF, na ata akihamia Chadema na Dr Slaa ahamie Kyela kwa muda wote wa kampeni bado matokeo hayatakuwa tofauti sana na haya, Mwakyembe anakubalika sana Kyela kuliko unavyodhania.
Mwakalinga ni mtu safi lakini huu haukuwa wakati muafaka kwake kugombea Kyela.
[
LIFE GOES ON. Asiyekubali kushindwa si MSHINDANI. Ila siamini kuwa Mwakalinga amekuwa wa TATU. [/SIZE]
Kuna taarifa (zinasubiri uthibitisho tu) kuwa Mwakyusa kabwagwa vibaya na Richard Kasesela
Wandugu nashindwa kuelewa inakuwaje tunaweza kupata matokeo ya Kyela, Mtera etc lakini ya hapo Dar, Kawe, Kinondoni, Ilala etc inakuwa vigumu kama kutafuta soko la pork Mecca?
Wow..ikithibitika km ndio hivi then ni bomba coz Prof hakufaa kwemye jimbo lile...Kuna taarifa (zinasubiri uthibitisho tu) kuwa Mwakyusa kabwagwa vibaya na Richard Kasesela