1.Jumla ya kura zilizopigwa-1298
2.waliokuwa na imani nayo ni watu 3 sawa na asilimia 0.02
3. Wasiokuwa na imani nayo ni 1290 sawa na asilimia 99.4
4.kura zilizoharibika ni 5 sawa na asilimia 0.58
my take
kati ya watanzania 709 mmoja ndio ana imani na Tbc kwa hali hii tbc itaendelea kupoteza watazamaji na wasikilizaji wengi kama isipojirekebisha
2.waliokuwa na imani nayo ni watu 3 sawa na asilimia 0.02
3. Wasiokuwa na imani nayo ni 1290 sawa na asilimia 99.4
4.kura zilizoharibika ni 5 sawa na asilimia 0.58
my take
kati ya watanzania 709 mmoja ndio ana imani na Tbc kwa hali hii tbc itaendelea kupoteza watazamaji na wasikilizaji wengi kama isipojirekebisha