Bangsweezy
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 873
- 193
Inamaana kupata hicho cheo fisiemu inabidi cv yako ifanane na muasisi nepi
Hivi Livinstone Lusinde yeye ni Ni Kivipi?Kama hizi habari ni za kweli.
=================
Wabunge kama hawa hawatufai. Kama ameshindwa hata kukariri kama kuelewa ni vigumu ili walau apate hata four!!.
Kuna haja ya serikali kuwalazimisha wabunge warudi shule. Ni ujinga kuwa na mbunge aliyepata zero form six.
Hawa ndio wanaosaini mikataba kijingajinga.
mkubwa alitaga? duh lakini shule nayo ilikuwa majanga. zeroView attachment 301294 Baada ya Ole Sendeka kumtaka Lissu kurudi darasani eti shule yake bado sana.
Katika pitapita zangu sehemu fulan nikaona mdau mmoja akisema kua mbona yeye alipata div 0 pale Old Moshi Sec?.
Mwenye data zake atujuze wakuu.
==================
Update;
===================
Kwahiyo ukisoma PCB ni haki yako kupata ZerO?
Wacha masihara wewe.
Huyu jamaa alikuwa kilaza Original.
PCB watu wanapiga msuli munene kupata IV inawezekana lkn zero inaleta question mark za kutosha
Kabla ya Kucommenty hebu observe general performance ndio uje kucomment!View attachment 301294 Baada ya Ole Sendeka kumtaka Lissu kurudi darasani eti shule yake bado sana.
Katika pitapita zangu sehemu fulan nikaona mdau mmoja akisema kua mbona yeye alipata div 0 pale Old Moshi Sec?.
Mwenye data zake atujuze wakuu.
==================
Update;
===================
PCB sio mchezo na hiyo shule huenda haikuwa na walimu! Si rahisi kufaulu hata ungekuwa genius!PCB Ngumu mkuu
Not PCM ni PCB..Tena alisoma PCM
Siku moja mle mjenoni(Parliament) wakati wa mijajala Prof Muhongo alitaka kujua CV ya Ole Sendeka bahati mzuri malaika mzuri alipitia mjengoni yakaishia hewani!!!! Lakini Ole knows jinsi ya kujenga hoja nzuri na zenye mshiko, ni Mmasai mwenye hekima kwani even waziri mkuu wa zamani wa Uingereza John Major alikuwa 'A' level failure na banker lakini alikuwa na hekima)wisdom na kiongozi mzuri.unajitahid kutetea illa sio rahisi watu kubadilika na kukuamin
Siku moja mle mjenoni(Parliament) wakati wa mijajala Prof Muhongo alitaka kujua CV ya Ole Sendeka bahati mzuri malaika mzuri alipitia mjengoni yakaishia hewani!!!! Lakini Ole knows jinsi ya kujenga hoja nzuri na zenye mshiko, ni Mmasai mwenye hekima kwani even waziri mkuu wa zamani wa Uingereza John Major alikuwa 'A' level failure na banker lakini alikuwa na hekima)wisdom na kiongozi mzuri.
Aisee,u made my day eheheheUkifunika hilo jina ukiweka ,KISWA F, ENG F, HISTORY F, utawezaje kutofautisha na ya MBOWE
Honorable Mbowe is a University graduate labda kama unataka kujua kama kishaenda kuchua post graduate Diploma or degree!!Aisee,u made my day ehehehe
Tatizo sio kufeli mitihani ila tatizo kufeli halafu ukawa unataka sifa kuonesha umma kwamba nawewe ulifahuru ,shida ndio inaanzia hapo, hao ulio wataja wala hawaja onesha dalili za kutaka sifa kiwa hawakufeli.Hapa mbona wako wengi sana,kuna kubenea huyu ni standard seven kabisa,mbunge wa mbeya mjini mr 2 a.k.a.sugu,mbunge wa kinondoni Iddi azan n.k.