Matokeo ya kidato cha sita 2014

Mr.Bihume

New Member
Jul 12, 2014
1
0
Matokeo ya kidato cha 6 2014 kama yameendana na uwezo wa wanafunzi ni vizueri,lakini kama ni kinyume chake inamaana matatizo kama nyumba za walimu,mshahara mdogo,maabara,mafunzo kazini,vitabu vinavyoendana na mitalaa mipya,ukosefu wa kompyuta,projekta na intanet hayatashughulikiwa kwa haraka maan licha ya kuwepo matatizo hayo bado wanafunzi wanafaulu.
Pia napinga kuyapa masomo ya G.S na B.A.M grade sawa na masomo mengine yaan inamaana mwanafunzi mwenye GS na BAM akipata A katika masomo hayo mawili aende chuo kweli?tutakosa wataalam kwenye masomo husika kwenye comination.
 
Matokeo ya kidato cha 6 2014 kama yameendana na uwezo wa wanafunzi ni vizueri,lakini kama ni kinyume chake inamaana matatizo kama nyumba za walimu,mshahara mdogo,maabara,mafunzo kazini,vitabu vinavyoendana na mitalaa mipya,ukosefu wa kompyuta,projekta na intanet hayatashughulikiwa kwa haraka maan licha ya kuwepo matatizo hayo bado wanafunzi wanafaulu.
Pia napinga kuyapa masomo ya G.S na B.A.M grade sawa na masomo mengine yaan inamaana mwanafunzi mwenye GS na BAM akipata A katika masomo hayo mawili aende chuo kweli?tutakosa wataalam kwenye masomo husika kwenye comination.

Hayo masomo unaekewa ulichokipata mimi naona ni bora kaka yangu mfano eti ilikua ukipata 35 gs au 25 bam ni sawa na aliyepata 95 apo inafanya m2 asilichukulie seriously ilo somo maana baada ya apo kila m2 ataekewa s kwenye chet sasa hii itafanya wa2 wayachukulie serious maana yanaremba/kuchafua vyet ila kuhusu kutumika vyuoni kama credit io kitu aipo labda ukute m2 kasoma comb isiyokuwa na namba mfano cbg afu course anayoapply inahitaji namba io bam itaangaliwa endapo o level namba hauna credit au pass ,,,,utaratibu upo kama zamani kila course kwenye chuo husika inahitaji ufaulu kwenye masomo ya combi husika sio io gs na bam
 
Matokeo ya kidato cha 6 2014 kama yameendana na uwezo wa wanafunzi ni vizueri,lakini kama ni kinyume chake inamaana matatizo kama nyumba za walimu,mshahara mdogo,maabara,mafunzo kazini,vitabu vinavyoendana na mitalaa mipya,ukosefu wa kompyuta,projekta na intanet hayatashughulikiwa kwa haraka maan licha ya kuwepo matatizo hayo bado wanafunzi wanafaulu.
Pia napinga kuyapa masomo ya G.S na B.A.M grade sawa na masomo mengine yaan inamaana mwanafunzi mwenye GS na BAM akipata A katika masomo hayo mawili aende chuo kweli?tutakosa wataalam kwenye masomo husika kwenye comination.

serikali ya kifisadi ya CCM ndiyo iliyotufikisha hapa.
 
CBG hakusoma physics a'level, so ili akapge pharmacy au md anatakiwa awe na atleast C a.k.a principle ya bam necta sio wajinga kuanza kuweka grade halisia kwenye hayo masomo ya gs&bam...pengine hapo ndo utajua wanaotafutaga subsidiary ya bam&gs oneday before exams automatically huyu lazima ale F akipata subsidiary ujue ni ya 25 au 30 so huyu huwezi kumlinganisha na alopata subsidiary ya 50,60,70,80,90 haki itendeke bhana
 
Back
Top Bottom