Matokeo ya Kidato cha Nne

Mwana Ilala

JF-Expert Member
Jan 29, 2013
1,287
483
Naomba kueleweshwa. Wale walio andikiwa herufi *E badala ya Division,
ina Maana gani?

Thanks.
 
Isiwe ndio matokeo yako hayo mkuu


No, mimi form 4 nilipiga 1998, na saivi nna miaka 16 Kazini.

Jirani yangu kaniomba nimchekie sasa nkaona amewekewa *E.

Nkamwambia kama alimaliza ada zote, akasema alikuWa hadaiwi chochote.

Hata hela ya mtihani walilipa yote ofisini kwa Headmaster.
 
No, mimi form 4 nilipiga 1998, na saivi nna miaka 16 Kazini.

Jirani yangu kaniomba nimchekie sasa nkaona amewekewa *E.

Nkamwambia kama alimaliza ada zote, akasema alikuWa hadaiwi chochote.

Hata hela ya mtihani walilipa yote ofisini kwa Headmaster.
Aende shule akafahamishwe zaidi maana inawezekana mwalimu amekula hela yako ama hitilafu wakati anacompile taarifa za wanafunzi ikapelekea system kumuondoa kwenye orodha ya waliolipa ada.
 
Back
Top Bottom