MATOKEO ya Kidato cha Nne a mjadala wa kuboresha Kufaulu

kwani feza boyz ni ya nani?

moja tuu, ujue mnalala mika tuu bila sababu za msingi. Kaeni chini , tafakarini huu ukweli, badala ya kuwa achia wazee wale wawatwisha mizigo isiyo na msingi, wambieni watoe dira zao katika masuala nyeti kama haya.
 
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani, Joyce Ndalichako, alisema shule kumi bora zilizokuwa na watahiniwa kuanzia 40 na zaidi,ni

1. Uru Seminari (Kilimanjaro),
2. Marian Wasichana (Pwani),
3. St Francis (Mbeya)
4. Canossa (Dar es Salaam).
5. Msolwa (Morogoro),
6. Feza Wavulana (Dar es Salaam),
7. St Mary Goreti (Kilimanjaro),
8. Abbey (Mtwara),
9. St Joseph's Iterambogo (Kigoma)
10.Barbro - Johnson (Dar es Salaam).

Wanafunzi kumi bora kitaifa

1. Lucylight Mallya,(Marian),
2. Maria –Dorin Shayo (Marian),
3. Sherryen Mutoka wa Barbro - Johansson,
4. Diana Matabwa (St Francis)
5. Neema Kafwimi (St Francis)
6. Beatrice Issara (Mary Goreti)
7. Johnston Dedani (Ilboru)
8. Samwel Emmanuel (Moshi Technical)
9. Bertha Sanga (Marian)
10.Bernadetha Kalluvya (St Francis).

Shule kumi za mwisho zilizokuwa na watahiniwa 40 na zaidi ni

1. Changaa, 2. Kolo, 3. Kikore, 4. Hurui, 5. Thawi, zote kutoka Dodoma
6. Pande Darajani (Tanga),
7. Igawa (Morogoro),
8. Makata (Lindi),
9. Mbuyuni na 10. Naputa kutoka Mtwara.


My take: Mtanisamehe mbona sioni shule za ndugu zetu na wanafunzi wao wakiongoza au ile nusu kwa nusu hai apply kwenye uwezo wa elimu hadi kwenye vyeo, naogopa wasije kuanza kulalamika kuwa aliyetangaza matokeo kapendelea.


Wakristo wanapendelewa na serikali ya CCM.

Uzushi bab kubwa.
 
Shule inaitwa Chang'aa! Lazima ishike mkia hiyo.

Ooooohhh, yes, chang'aaaaa!! Lazima ilewe, iweweseke na kufeli. Kwa wenzetu wakenya, chang'aa ni pombe ya kienyeji inayoweza kulinganishwa hapa nchini na gongo. Ila yenyewe ni kali zaidi kwani mwishoni mwa mwaka jana kuna wananchi kadhaa nchini Kenya waliuawa kwa kuji overdoze.
 
Kwani Feza Boyz ni ya nani?
Acheni kulalamika msikalie matamko yasiyo na tija pelekeni watoto wenu shule wakapate elimu dunia si kuwalazimisha madrasa vinginevyo nyie na wazee wenu mtabaki kutumiwa na wenye elimu kwa kupewa pilau na ubwabwa.

Mara ooohh hijabu mara oooohh ijumaa iwe weekend mara tunadhulumiwa mnaacha mambo ya msingi ya elimu mnakutana Diamond mnakalia umbea wa ovyo ovyo kabisa.
 
Haitakuja tokea na haitarajiwi na mtu yeyote duniani waislam kuwa na 'academic excellency' kuzidi wakristo. Wagunduzi wa mambo ya science, technology na nadharia za masuala ya kisiasa na kiuchumi takriban wote ni wakristo. Sijawahi kusikia, haitatokea na wala haipendezi kusikia kitu kama Abdalah's law of motion au Khalfan's principle of ....... It sounds good unaposikia kitu kama Newton's Law of Motion, Charles's and Boyles's Law, Ohm's Law, Albert Einstain, n.k. Kwa hiyo, kinachotokea sasa hapa nchini, ni mwendelezo wa mambo yaliyoanza tangu enzi na enzi.

Ukiangalia hata nchi za uarabuni ambazo zipo vizuri kiuchumi kama vile Saudi Arabia, Qatta, Kuwait, n.k utashangaa makampuni takribani yote makubwa yameshikwa na wamarekani, waingereza, warusi, wafaransa, n.k. Wao kinachowasaidia ni mitaji inayotokana na visima vya mafuta.

Kwa hiyo ndg zangu wazee wa ubwabwa, kahawa na kashata siwalaumu sana kwa kuchemsha kielimu kwani ni mwendelezo wa yaleyale ya zamani. Mimi nahisi hata ukipitia harakaharaka orodha ya waislam wasomi hapa nchini unaweza ukashangaa wengi wao walipitia shule za wakristo. Mwangalie Prof. Lipumba aliyesoma Tabora Boys, .... hadi Marekani. Hata jk mwenyewe ingawa yeye huwezi kumweka kwenye orodha ya wasomi nae alipitia shule za wakatoriki.

Amkeni jamani acheni kusingizia mambo ya upendeleo. Mtaendelea kuchelewa.
 
6. Pande Darajani (Tanga),
7. Igawa (Morogoro),
8. Makata (Lindi),
9. Mbuyuni na 10. Naputa kutoka Mtwara


na huku ndio ccm ilishinda kwa kishindo

Aisee, kumbe watu wengi wakielimika unakuwa ndiyo mwisho wa ccm!!! Basi ndiyo maaaaaaanaaa.......!!
 
Kwani Feza Boyz ni ya nani?
Check naye huyu anafurahia shule ya waturuki that is a Turkish school my friend na uongozi wake wote tokea Headmaster walimu wengi ni waturuki jaribu kupeleka mtoto wako wa Buguruni aliyemaliza madrasa kama ataingia hata getini. Dubo usiwe mtumwa jivunie shule za wabongo.
 
6. Pande Darajani (Tanga),
7. Igawa (Morogoro),
8. Makata (Lindi),
9. Mbuyuni na 10. Naputa kutoka Mtwara


na huku ndio ccm ilishinda kwa kishindo
Exactly kama ulikuwepo Tanga, Dodoma, Morogoro, Lindi, Mtwara, na Pwani, jaribu kuangalia wenyeji wa mikoa hiyo utajua ni watu wa aina gani, siyo siri reflection ya matokeo haya ya mitihani haina tofauti na yanayosemwa na watu mbalimbali yakiwemo ya kisiasa.
 
Check naye huyu anafurahia shule ya waturuki that is a Turkish school my friend na uongozi wake wote tokea Headmaster walimu wengi ni waturuki jaribu kupeleka mtoto wako wa Buguruni aliyemaliza madrasa kama ataingia hata getini. Dubo usiwe mtumwa jivunie shule za wabongo.

Anadhani watoto wa gongo la mboto na buguruni wanaweza wakaisogelea shule hiyo, thubutuuuuu. Ni shule ya uturuki lakini watoto wanaosoma pale the majority ni wakristo kwa sababu sifa ya kujiunga pale ni academic peformance na siyo uwezo wa kukariri juzuu.
 
Anadhani watoto wa gongo la mboto na buguruni wanaweza wakaisogelea shule hiyo, thubutuuuuu. Ni shule ya uturuki lakini watoto wanaosoma pale the majority ni wakristo kwa sababu sifa ya kujiunga pale ni academic peformance na siyo uwezo wa kukariri juzuu.
Umenifurahisha sana kwenye bold, naifahamu sana hiyo shule hapo ni academic excellence yako ndiyo inakupeleka pale halafu darasani hawazidi ishirini na nne ni 12-16-20-24 kwa darasa, sasa Dubo anataka kuilinganisha na Kinondoni Musilm ambayo unaingia kwa kuimba alf be chede.
 
Umenifurahisha sana kwenye bold, naifahamu sana hiyo shule hapo ni academic excellence yako ndiyo inakupeleka pale halafu darasani hawazidi ishirini na nne ni 12-16-20-24 kwa darasa, sasa Dubo anataka kuilinganisha na Kinondoni Musilm ambayo unaingia kwa kuimba alf be chede.

Soon topical na MS watamaliza kuswali fajr na kupitia maandiko matakatifu then watakuja hapa! Kuprove kwamba most of u are empty headed, hao wawili tu watawashuhulisha nyote nyie ktk post hii! Challenge-"ukimkuta muslim ktk top 10,then anakuwa top mpaka vasity na all over but hawa ma top 10 wa ki-kristo ni vilaza wa kutisha vyuoni"-WHY?
 
Wao wanataka nusu kwa nusu ili waanzishe serikali kama ile ya alishabab kule Somalia,beliving that Sharia will do everything.
Sio siri we need to change.Ndugu zangu Elimu Dunia nayo Muhimu boresheni Mashule yenu sio Mbaya siku moja kuwa na kiogozi wenu wa juu kabisa akiwa na PhD
 
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani, Joyce Ndalichako, alisema shule kumi bora zilizokuwa na watahiniwa kuanzia 40 na zaidi,ni

1. Uru Seminari (Kilimanjaro),
2. Marian Wasichana (Pwani),
3. St Francis (Mbeya)
4. Canossa (Dar es Salaam).
5. Msolwa (Morogoro),
6. Feza Wavulana (Dar es Salaam),
7. St Mary Goreti (Kilimanjaro),
8. Abbey (Mtwara),
9. St Joseph's Iterambogo (Kigoma)
10.Barbro - Johnson (Dar es Salaam).

Wanafunzi kumi bora kitaifa

1. Lucylight Mallya,(Marian),
2. Maria –Dorin Shayo (Marian),
3. Sherryen Mutoka wa Barbro - Johansson,
4. Diana Matabwa (St Francis)
5. Neema Kafwimi (St Francis)
6. Beatrice Issara (Mary Goreti)
7. Johnston Dedani (Ilboru)
8. Samwel Emmanuel (Moshi Technical)
9. Bertha Sanga (Marian)
10.Bernadetha Kalluvya (St Francis).


Shule kumi za mwisho zilizokuwa na watahiniwa 40 na zaidi ni

1. Changaa, 2. Kolo, 3. Kikore, 4. Hurui, 5. Thawi, zote kutoka Dodoma
6. Pande Darajani (Tanga),
7. Igawa (Morogoro),
8. Makata (Lindi),
9. Mbuyuni na 10. Naputa kutoka Mtwara.


My take: Mtanisamehe mbona sioni shule za ndugu zetu na wanafunzi wao wakiongoza au ile nusu kwa nusu hai apply kwenye uwezo wa elimu hadi kwenye vyeo, naogopa wasije kuanza kulalamika kuwa aliyetangaza matokeo kapendelea.

Hapo kwenye kumi bora vipi?
 
Tukumbe ufaulu wa watoto unatokana pia na support ya wazazi pale nyumbani (kusaidia kufanya pieces of homework, na mtoto kuelewa maana ya elimu, vifaa vyote vya elimu vikiwemo vitabu, DVDs, internet access, cable television).
 
Exactly kama ulikuwepo Tanga, Dodoma, Morogoro, Lindi, Mtwara, na Pwani, jaribu kuangalia wenyeji wa mikoa hiyo utajua ni watu wa aina gani, siyo siri reflection ya matokeo haya ya mitihani haina tofauti na yanayosemwa na watu mbalimbali yakiwemo ya kisiasa.

pwani imeingiaje hapo?st marian iko bagamoyo.
 
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani, Joyce Ndalichako, alisema shule kumi bora zilizokuwa na watahiniwa kuanzia 40 na zaidi,ni

1. Uru Seminari (Kilimanjaro),
2. Marian Wasichana (Pwani),
3. St Francis (Mbeya)
4. Canossa (Dar es Salaam).
5. Msolwa (Morogoro),
6. Feza Wavulana (Dar es Salaam),
7. St Mary Goreti (Kilimanjaro),
8. Abbey (Mtwara),
9. St Joseph’s Iterambogo (Kigoma)
10.Barbro - Johnson (Dar es Salaam).

Wanafunzi kumi bora kitaifa

1. Lucylight Mallya,(Marian),
2. Maria –Dorin Shayo (Marian),
3. Sherryen Mutoka wa Barbro - Johansson,
4. Diana Matabwa (St Francis)
5. Neema Kafwimi (St Francis)
6. Beatrice Issara (Mary Goreti)
7. Johnston Dedani (Ilboru)
8. Samwel Emmanuel (Moshi Technical)
9. Bertha Sanga (Marian)
10.Bernadetha Kalluvya (St Francis).

Shule kumi za mwisho zilizokuwa na watahiniwa 40 na zaidi ni

1. Changaa, 2. Kolo, 3. Kikore, 4. Hurui, 5. Thawi, zote kutoka Dodoma
6. Pande Darajani (Tanga),
7. Igawa (Morogoro),
8. Makata (Lindi),
9. Mbuyuni na 10. Naputa kutoka Mtwara.


My take: Mtanisamehe mbona sioni shule za ndugu zetu na wanafunzi wao wakiongoza au ile nusu kwa nusu hai apply kwenye uwezo wa elimu hadi kwenye vyeo, naogopa wasije kuanza kulalamika kuwa aliyetangaza matokeo kapendelea.

mkuu unaendekeza udini,mimi nilidhani utaangalia status ya shule zetu za kata na zile zilizoitwa Vipaji Maalum.
 
Haitakuja tokea na haitarajiwi na mtu yeyote duniani waislam kuwa na 'academic excellency' kuzidi wakristo. Wagunduzi wa mambo ya science, technology na nadharia za masuala ya kisiasa na kiuchumi takriban wote ni wakristo. Sijawahi kusikia, haitatokea na wala haipendezi kusikia kitu kama Abdalah's law of motion au Khalfan's principle of ....... It sounds good unaposikia kitu kama Newton's Law of Motion, Charles's and Boyles's Law, Ohm's Law, Albert Einstain, n.k. Kwa hiyo, kinachotokea sasa hapa nchini, ni mwendelezo wa mambo yaliyoanza tangu enzi na enzi.

Ukiangalia hata nchi za uarabuni ambazo zipo vizuri kiuchumi kama vile Saudi Arabia, Qatta, Kuwait, n.k utashangaa makampuni takribani yote makubwa yameshikwa na wamarekani, waingereza, warusi, wafaransa, n.k. Wao kinachowasaidia ni mitaji inayotokana na visima vya mafuta.

Kwa hiyo ndg zangu wazee wa ubwabwa, kahawa na kashata siwalaumu sana kwa kuchemsha kielimu kwani ni mwendelezo wa yaleyale ya zamani. Mimi nahisi hata ukipitia harakaharaka orodha ya waislam wasomi hapa nchini unaweza ukashangaa wengi wao walipitia shule za wakristo. Mwangalie Prof. Lipumba aliyesoma Tabora Boys, .... hadi Marekani. Hata jk mwenyewe ingawa yeye huwezi kumweka kwenye orodha ya wasomi nae alipitia shule za wakatoriki.

Amkeni jamani acheni kusingizia mambo ya upendeleo. Mtaendelea kuchelewa.

View attachment 21454well said, while others study hard, themselves wanafikiria kuongeza mke wa 2, 3 ...View attachment 21455 wavivu sana & kwa maneno, looohh
ndio wenyewe, watoto wanaridhi hayo, not intelligent at all
 
Check naye huyu anafurahia shule ya waturuki that is a Turkish school my friend na uongozi wake wote tokea Headmaster walimu wengi ni waturuki jaribu kupeleka mtoto wako wa Buguruni aliyemaliza madrasa kama ataingia hata getini. Dubo usiwe mtumwa jivunie shule za wabongo.

Mkuu elimu ni elimu bora ifikie vigezo vinavyotatakiwa na vinavyotambuliwa, bila kujali anaitoa nani elimu hiyo. Na kwa kufuata utaratibu kila shule ina utaratibu wa kupokea wanafunzi, kila mwanafunzi anayefikia vigezo bila kujali anatoka buguruni au mashenzini anatakiwa na anaweza kupata hiyo elimu.

Nasubiri sana kusikia maoni ya Malaria sugu kuhusu hii issue, yeye ni mtu mwenye mawazo mazuri sana inapaokuja kwenye maeneo yanoneonekana kuna alama za udini. Nataka atupe connection ya udini kwenye hili.
 
Shule kumi za mwisho zilizokuwa na watahiniwa 40 na zaidi ni

1. Changaa, 2. Kolo, 3. Kikore, 4. Hurui, 5. Thawi, zote kutoka Dodoma
6. Pande Darajani (Tanga),
7. Igawa (Morogoro),
8. Makata (Lindi),
9. Mbuyuni na 10. Naputa kutoka Mtwara.


My take: Mtanisamehe mbona sioni shule za ndugu zetu na wanafunzi wao wakiongoza au ile nusu kwa nusu hai apply kwenye uwezo wa elimu hadi kwenye vyeo, naogopa wasije kuanza kulalamika kuwa aliyetangaza matokeo kapendelea.
shule za mwisho nadhani majority zitakua za kata... where we valued quanity and not quality!!!
 
Back
Top Bottom