poleni sana watanzania wenzangu!
Weka na ya FEZA Boys and Girls tuone mabucha vizuri!Acha kuwa bias mkuu.
[h=3]
S0135 MOSHI TECHNICAL SECONDARY SCHOOL DIV-I = 9 DIV-II = 21 DIV-III = 28 DIV-IV = 43 FLD = 65 [/h]
Unawajua wamiliki wake.......BTW sio Seminary pia
Kama watu hawasomi unategemea nini, wanakaririshwa elimu a***a wameachana na elimu....
Leteni vinamba vyenu tuwaangalizie matokea naona ss hovi vimakelele vuote kwishaa
Mbona lsramic knowledge wanafumua sana wanapa A+ lakini NECTA wanawafanyia mizengwe na kuwawekea D na F