Naibu Waziri Mulugo anafahamu kuwa NECTA imeshatangaza matokeo?
Ahsante mkuu,naona huo utaratibu wa majina sijauelewa mkuu,kuna miaka wanaweka namba na miaka mingine wanaweka majina.
poleni sana watanzania wenzangu!NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
CSEE 2012 EXAMINATION RESULTS
S0199 MSAMALA MUSLIM SEMINARY
DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 26 FLD = 19
asante mdau naona mwaka huu wamewastiri wameweka NAMBA TU BILA MAJINA