Matokeo ya Kidato cha Nne 2012 NECTA (CSEE)

Asanteni kunipa matokeo. Samahani nisaidieni kuniangalizia haya.
S.1842/1213 na S.3813

S1842 TAWHEED SEMINARY
DIV-I = 1 DIV-II = 4 DIV-III = 13 DIV-IV = 17 FLD = 7

S1213-Sijaona shule yenye usajili huu.


S3813 BWAFUMBA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 4 FLD = 20
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)10/11
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE)547/747

 
S1842 TAWHEED SEMINARY
DIV-I = 1 DIV-II = 4 DIV-III = 13 DIV-IV = 17 FLD = 7

S1213-Sijaona shule yenye usajili huu.


S3813 BWAFUMBA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 4 FLD = 20
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)10/11
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE)547/747



sorry nimemisstakeni ilikuwa ni
S.1843/1213
hiyo ni namba yote ya mwanafunzi.
 
Duh naangalia shule moja hapa na hali iko hivi:

Div1=0
Div2=1
Div3=2
Div4=38
Zero=63

Waliofanya mtihani ni 104 na kwa maana hiyo waliofaulu ni 3 tu manake hiyo Div4 ni sawa sawa na sifuri kwa maana kwamba haimuwezeshi mwenye nayo kwenda popote. Hii nchi inaelekea wapi? Hawa watoto 101 watafanya nini baada ya hapa? Na bado wizarani una waziri ambaye anasema serikali ina mikakati ya kukabiliana na hali hiyo!! Mikakati,michakato na kadhalika na kadhalika wakati nchi inateketea, kweli kazi tunayo!


Hili nalo balaa zaidi.
REGIST
ABSENTSATWITHHELDNO-CACLEANDIV IDIV IIDIV IIIDIV IV
FAILED
2128204120192
00557130
 
jina ni hilohilo na namba ya mwanafunzi ni 0012 kwa hiyo nilitaka matokeo ya s.1842/0012 na huyu wa s.1842/0013 pia 0005

s1842/0005
f
31
iv
civ-f hist-d geo-f e/d/kiislamu-d kisw-c engl-f bio-f b/math-f
s1842/0006
f
33
iv
civ-f hist-f geo-f e/d/kiislamu-d kisw-d engl-f bio-f b/math-f
s1842/0007
f
-
abs
civ-x hist-x geo-x e/d/kiislamu-x kisw-x engl-x bio-x b/math-x
s1842/0008
f
31
iv
civ-d hist-f geo-f e/d/kiislamu-f kisw-f engl-d phy-f chem-d bio-d b/math-f
s1842/0009
f
34
fld
civ-f hist-f geo-f e/d/kiislamu-f kisw-d engl-f bio-f b/math-f
s1842/0010
f
35
fld
civ-f hist-f geo-f e/d/kiislamu-f kisw-f engl-f bio-f b/math-f
s1842/0011
f
31
iv
civ-f hist-f geo-f e/d/kiislamu-d kisw-d engl-d bio-d b/math-f
s1842/0012
f
28
iv
civ-f hist-d geo-d e/d/kiislamu-d kisw-c engl-d bio-d b/math-f
s1842/0013
f
34
fld
civ-f hist-f geo-f e/d/kiislamu-f kisw-d engl-f bio-f b/math-f
 
jina ni hilohilo na namba ya mwanafunzi ni 0012 kwa hiyo nilitaka matokeo ya s.1842/0012 na huyu wa s.1842/0013 pia 0005

[font=&quot]s1842/0005[/font][font=&quot][/font]
[font=&quot]f[/font][font=&quot][/font]
[font=&quot]31[/font][font=&quot][/font]
[font=&quot]iv[/font][font=&quot][/font]
[font=&quot]civ-f hist-d geo-f e/d/kiislamu-d kisw-c engl-f bio-f b/math-f [/font][font=&quot][/font]
[font=&quot]s1842/0012[/font]
[font=&quot]f[/font]
[font=&quot]28[/font]
[font=&quot]iv[/font]
[font=&quot]civ-f hist-d geo-d e/d/kiislamu-d kisw-c engl-d bio-d b/math-f [/font]
[font=&quot]s1842/0013[/font]
[font=&quot]f[/font]
[font=&quot]34[/font]
[font=&quot]fld[/font]
[font=&quot]civ-f hist-f geo-f e/d/kiislamu-f kisw-d engl-f bio-f b/math-f [/font]
 
Wengine wanaotia aibu ni hawa hapa. PUMBAFFFFFF

S2119 HARVEST MISSION SECONDARY SCHOOL


DIV-I = 0 DIV-II = 2 DIV-III = 5 DIV-IV = 46 FLD = 48



S0785 DAR-ES-SALAAM CHRISTIAN SEMINARY


DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 1 DIV-IV = 23 FLD = 65


S1595 ST.AUGUSTINO SECONDARY SCHOOL


DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 8 FLD = 34.

WAMEJAA TELE HUMU. PUMBAFFF

Kwamdolwa is a Catholic owned school, wameitia aibu taasisi kwa reputation ya kazi nzuri katika elimu. Wafunge wajipange vyema, wamuulize Rosmini wanafanyaje etc. Kwa shule za masista kufeli hivyo, afadhali wafunge sio kukusanya hela tu!
 
Rogie thanks aisee ila mbona hawajatoa majina wameweka namba

Mwaka jana walivyoweka majina Mwanaasha Kikwete akaonekana kaburuza mkia ilileta shida kidogo, sasa na mwaka huu tungemuona wa Mulugo au Nchemba ingekuwaje? Sio issue ya bahati mbaya ni maelekezo toka juu.
 
Last edited by a moderator:
35490_565943826757346_182150091_n.jpg
kwa namna hii tutegemee zero za kutosha
 
Biashara ya ELIMU inazimaliza secondari za umma. Hii hujuma ya wazi ili Private schools ambazo zinamilikiwa kwa wingi na vigogo kisiasa, serikali, Bunge na mahakama wafanye biashara.
 
waislam wamefaulu wangapi na wakristo wangapi , labda twende hivyo ndo itakuwa sawa!

Wana jf tubadili mitazamo yetu tunapojadiri mambo ya maana kwa taifa letu, tunapoingiza mambo ya dini kwenye mambo kama haya tunasababisha migawanyiko bila sababu na kwa mwendo huu mabadiriko tunayoyatamani hayatotokea maana wenyewe hatutaaminiana, kila mtu atamuona wa pembeni yake si mwenzie, tukumbuke yaliyotokea kwenye ujenzi wa mnara wa Babeli, wapenda mabadiriko wanapaswa kuwa na lugha moja tusitenganishwe na ushabiki usio na manufaa.
 
Back
Top Bottom