Yusuph p. Kisunzu
Senior Member
- Dec 21, 2012
- 120
- 9
Asanteni kunipa matokeo. Samahani nisaidieni kuniangalizia haya.
S.1842/1213 na S.3813
S.1842/1213 na S.3813
Asanteni kunipa matokeo. Samahani nisaidieni kuniangalizia haya.
S.1842/1213 na S.3813
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE) | 10/11 |
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE) | 547/747 |
S1842 TAWHEED SEMINARY
DIV-I = 1 DIV-II = 4 DIV-III = 13 DIV-IV = 17 FLD = 7
S1213-Sijaona shule yenye usajili huu.
S3813 BWAFUMBA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 4 FLD = 20
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE) 10/11 CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE) 547/747
Duh naangalia shule moja hapa na hali iko hivi:
Div1=0
Div2=1
Div3=2
Div4=38
Zero=63
Waliofanya mtihani ni 104 na kwa maana hiyo waliofaulu ni 3 tu manake hiyo Div4 ni sawa sawa na sifuri kwa maana kwamba haimuwezeshi mwenye nayo kwenda popote. Hii nchi inaelekea wapi? Hawa watoto 101 watafanya nini baada ya hapa? Na bado wizarani una waziri ambaye anasema serikali ina mikakati ya kukabiliana na hali hiyo!! Mikakati,michakato na kadhalika na kadhalika wakati nchi inateketea, kweli kazi tunayo!
REGIST | ABSENT | SAT | WITHHELD | NO-CA | CLEAN | DIV I | DIV II | DIV III | DIV IV | FAILED |
212 | 8 | 204 | 12 | 0 | 192 | 0 | 0 | 5 | 57 | 130 |
Hicho kituo kina jina gani mkuu.. maana hakuna namba hiyo ya usajili
jina ni hilohilo na namba ya mwanafunzi ni 0012 kwa hiyo nilitaka matokeo ya s.1842/0012 na huyu wa s.1842/0013 pia 0005
s1842/0005 | f | 31 | iv | civ-f hist-d geo-f e/d/kiislamu-d kisw-c engl-f bio-f b/math-f |
s1842/0006 | f | 33 | iv | civ-f hist-f geo-f e/d/kiislamu-d kisw-d engl-f bio-f b/math-f |
s1842/0007 | f | - | abs | civ-x hist-x geo-x e/d/kiislamu-x kisw-x engl-x bio-x b/math-x |
s1842/0008 | f | 31 | iv | civ-d hist-f geo-f e/d/kiislamu-f kisw-f engl-d phy-f chem-d bio-d b/math-f |
s1842/0009 | f | 34 | fld | civ-f hist-f geo-f e/d/kiislamu-f kisw-d engl-f bio-f b/math-f |
s1842/0010 | f | 35 | fld | civ-f hist-f geo-f e/d/kiislamu-f kisw-f engl-f bio-f b/math-f |
s1842/0011 | f | 31 | iv | civ-f hist-f geo-f e/d/kiislamu-d kisw-d engl-d bio-d b/math-f |
s1842/0012 | f | 28 | iv | civ-f hist-d geo-d e/d/kiislamu-d kisw-c engl-d bio-d b/math-f |
s1842/0013 | f | 34 | fld | civ-f hist-f geo-f e/d/kiislamu-f kisw-d engl-f bio-f b/math-f |
jina ni hilohilo na namba ya mwanafunzi ni 0012 kwa hiyo nilitaka matokeo ya s.1842/0012 na huyu wa s.1842/0013 pia 0005
[font="]s1842/0005[/font][font="][/font] | [font="]f[/font][font="][/font] | [font="]31[/font][font="][/font] | [font="]iv[/font][font="][/font] | [font="]civ-f hist-d geo-f e/d/kiislamu-d kisw-c engl-f bio-f b/math-f [/font][font="][/font] |
[font="]s1842/0012[/font] | [font="]f[/font] | [font="]28[/font] | [font="]iv[/font] | [font="]civ-f hist-d geo-d e/d/kiislamu-d kisw-c engl-d bio-d b/math-f [/font] |
[font="]s1842/0013[/font] | [font="]f[/font] | [font="]34[/font] | [font="]fld[/font] | [font="]civ-f hist-f geo-f e/d/kiislamu-f kisw-d engl-f bio-f b/math-f [/font] |
Wengine wanaotia aibu ni hawa hapa. PUMBAFFFFFF
S2119 HARVEST MISSION SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 2 DIV-III = 5 DIV-IV = 46 FLD = 48
S0785 DAR-ES-SALAAM CHRISTIAN SEMINARY
DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 1 DIV-IV = 23 FLD = 65
S1595 ST.AUGUSTINO SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 8 FLD = 34.
WAMEJAA TELE HUMU. PUMBAFFF
Rogie thanks aisee ila mbona hawajatoa majina wameweka namba
kwa namna hii tutegemee zero za kutosha
waislam wamefaulu wangapi na wakristo wangapi , labda twende hivyo ndo itakuwa sawa!