MAGWANDWA NOMAAAAA kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? kati ya kata 22 mmeambulia 3 CCM ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini
Mamndenyi..kubali tu kishindwa!kwa nguvu ccm iliyotumia na kwa wizi wa kura wa ccm ni moja kwa moja kuwa chadema imeshinda, lakini ccm ni lazima inamfia babarizimoja kama ilivyotabiriwa na wahanga mapema.
Pole..nakuonea huruma sana unavyoongea kimachungu!Dhambi ya wana igunga kutuongezea wazomeaji bunge, wapiga makofi, wasinziaji, hawatosemehewa kamwe.
Watakuwa wameiba tu hawa watu. Achana kuiba hawa jamaa wanajua kama wamepoteza mvuto wanatumia utajiri wao kuwanunua wapiga kura nimeona walivyoteketeza fedha kumpata diwani kata ya mjimwema (njombe),wanautumia vzuri umasikini wawatanzania na ambao wameutengemezena wenyewe, Nasema kwa uchungu mkubwa sana Mungu atawalaani siku 1,Fikiri mtu anauza kura yake kwa sh 1000/= au 5000/= kunabiashara gani huko juu? Wanakotumia nguvu kubwa na fedha nyingi kukufikia?