wandugu,
..tuwe makini ktk kuzitafsiri takwimu tunazolishwa toka baraza la mitihani.
..mkoa wa kilimanjaro una shule za sekondari zaidi ya 50. zinazosifiwa kufanya vizuri ktk mtihani wa taifa 2008 ni kama shule 6. kati ya hizo shule 6, zipo shule zenye wanafunzi chini ya 35!!
..ni vizuri ikaeleweke kwamba, shule hizo chache zilizoko Kilimanjaro, zinazosifika kwa kufaulisha, zina-admitt wanafunzi toka maeneo mbalimbali nje ya mkoa huo.
..vigogo wameacha kupeleka watoto wao kusoma sekondari Kenya na Uganda. badala yake wanasomesha watoto wao ktk shule nzuri-nzuri kama Kifungilo, St.Mary's,Marian Girls,Feza, Don Bosco, etc.
..hali ya elimu ni mbaya sana huko vijijini. imefika mahali wananchi wameanza kuhoji ulazima/uhalali wa kupeleka watoto shule.
..tuwe makini ktk kuzitafsiri takwimu tunazolishwa toka baraza la mitihani.
..mkoa wa kilimanjaro una shule za sekondari zaidi ya 50. zinazosifiwa kufanya vizuri ktk mtihani wa taifa 2008 ni kama shule 6. kati ya hizo shule 6, zipo shule zenye wanafunzi chini ya 35!!
..ni vizuri ikaeleweke kwamba, shule hizo chache zilizoko Kilimanjaro, zinazosifika kwa kufaulisha, zina-admitt wanafunzi toka maeneo mbalimbali nje ya mkoa huo.
..vigogo wameacha kupeleka watoto wao kusoma sekondari Kenya na Uganda. badala yake wanasomesha watoto wao ktk shule nzuri-nzuri kama Kifungilo, St.Mary's,Marian Girls,Feza, Don Bosco, etc.
..hali ya elimu ni mbaya sana huko vijijini. imefika mahali wananchi wameanza kuhoji ulazima/uhalali wa kupeleka watoto shule.