Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Yanaonyesha kuwa kiwango cha ufaulu kimeshuka kwa asilimia 10.13. Wanafunzi wengi wamefanya vizuri kwenye Kiswahili (aslimia 81.59) na wengi wamefeli basic mathematics (waliofaulu somo hili ni asilimia 24.33 tu).
Nyingi ay shule zinazoongoza kama kawaida ni za binafsi huku senminari zikionekana kufanya vema zaidi.
shule kumi bora zenye watahiniwa 30 au zaidi
1. St Francis Girls (Mbeya)
2. Marian Girls (Pwani)
3. St Joseph-Kilocha Seminary (Iringa)
4. Uru Seminary (Kilimanjaro)
5. Dungunyi Seminary (Singida)
6. Anwarite Girls (Kilimanjaro)
7. St Mary Goreti (Kilimanjaro)
8. Feza Boys (dar es Salaam)
9. Don Bosco Seminary (Iringa)
Shule 10 bora zenye watahiniwa chini ya 35
1. Scolastica (Kilimanjaro)
2. Feza Girls (Dar)
3. Brookebond (Iringa)
4. Bethelsabas Girls (Iringa)
5. Maua Seminary (Kilimanjaro)
6. Rubya Seminary (Kagera)
7. St Marys Junior Seminary (Pwani)
8. Katoke Seminary (Kagera)
9. Kilomeni (Kilimanjaro)
10. St Carolus (Singida)
Shule 10 za mwisho zenye watahiniwa 35 au zaidi
1. Selembala (Morogoro)
2. Kilindi (Pemba)
3. Ngwachani (Pemba)
4. Michiga (Mtwara)
5. Ummussalama (Pwani)
6. Chunyu (Dodoma)
7 Busi (Dodoma)
8. Uondwe (Pemba)
9. Nala (Dodoma)
10. Maawal (Tanga)
Shule 10 za mwisho zenye watahinwia chini ya 35
1. Juhudi Academy (Zanzibar)
2. Mima (Dodoma)
3. Selenge (Singida)
4. Kijini (Zanzibar)
5. Kwamkoro (tanga)
6. kwala (Pwani)
7. Mtende (Zanzibar)
8. Ng'hoboko (Shinyanga)
9. Mbuzini (Pemba)
10. Mwadui Technical (Shinyanga)
matokeo zaidi yanapatikana kwenye tovuti ya nect (The National Examinations Council of Tanzania)
au MATOKEO KIDATO CHA NNE 2008 (Hapahapa JF)https://www.jamiiforums.com/matokeo2008.htm
Nyingi ay shule zinazoongoza kama kawaida ni za binafsi huku senminari zikionekana kufanya vema zaidi.
shule kumi bora zenye watahiniwa 30 au zaidi
1. St Francis Girls (Mbeya)
2. Marian Girls (Pwani)
3. St Joseph-Kilocha Seminary (Iringa)
4. Uru Seminary (Kilimanjaro)
5. Dungunyi Seminary (Singida)
6. Anwarite Girls (Kilimanjaro)
7. St Mary Goreti (Kilimanjaro)
8. Feza Boys (dar es Salaam)
9. Don Bosco Seminary (Iringa)
Shule 10 bora zenye watahiniwa chini ya 35
1. Scolastica (Kilimanjaro)
2. Feza Girls (Dar)
3. Brookebond (Iringa)
4. Bethelsabas Girls (Iringa)
5. Maua Seminary (Kilimanjaro)
6. Rubya Seminary (Kagera)
7. St Marys Junior Seminary (Pwani)
8. Katoke Seminary (Kagera)
9. Kilomeni (Kilimanjaro)
10. St Carolus (Singida)
Shule 10 za mwisho zenye watahiniwa 35 au zaidi
1. Selembala (Morogoro)
2. Kilindi (Pemba)
3. Ngwachani (Pemba)
4. Michiga (Mtwara)
5. Ummussalama (Pwani)
6. Chunyu (Dodoma)
7 Busi (Dodoma)
8. Uondwe (Pemba)
9. Nala (Dodoma)
10. Maawal (Tanga)
Shule 10 za mwisho zenye watahinwia chini ya 35
1. Juhudi Academy (Zanzibar)
2. Mima (Dodoma)
3. Selenge (Singida)
4. Kijini (Zanzibar)
5. Kwamkoro (tanga)
6. kwala (Pwani)
7. Mtende (Zanzibar)
8. Ng'hoboko (Shinyanga)
9. Mbuzini (Pemba)
10. Mwadui Technical (Shinyanga)
matokeo zaidi yanapatikana kwenye tovuti ya nect (The National Examinations Council of Tanzania)
au MATOKEO KIDATO CHA NNE 2008 (Hapahapa JF)https://www.jamiiforums.com/matokeo2008.htm