Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,239
- 1,884
Ndugu wa Jf napenda kuweka thread hii kama kichwa cha habari kinavojieleza.
Tunajua kwamba macho ya kila mtu yalielekeza huko Arumeru na kusahau kuwa kuna chaguzi za udiwani zinafanyika mahali kwingineko lakini mpaka sasa hatujapata matokeo yake.
Wale wenye taarifa zake naomba ushirikiano wa kutujuza hayo matokeo.
Tunajua kwamba macho ya kila mtu yalielekeza huko Arumeru na kusahau kuwa kuna chaguzi za udiwani zinafanyika mahali kwingineko lakini mpaka sasa hatujapata matokeo yake.
Wale wenye taarifa zake naomba ushirikiano wa kutujuza hayo matokeo.