Japo kuwa nina kichwa ngumu kuelewa mbona hii nimeielewa?
Bila shaka wewe utakuwa umeelewa zaidi.
Nataka tu kuelewa kwani hapa vast muda mwingi nilikuwa napambana na sp, sasa kufukuzwa mjengoni ni moja wapo ya vigezo, au ni yale maneno makali ya mchungaji anayetaka kuwaombea wazinzi hii nimeipata kwenye u-tube jioni hii, kama kuna zingine kali tupewe, ili tulinganishe kwa usawa kuna watu kama akina filikunjombe sijawasikia, wanaweza wakaipaisha ccm katika hii match