Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Kikao cha bunge ndo kimemalizika muda si mrefu na matokeo ni CHADEMA 5 NCCR 2 CCM 1.
Kutokana na michango mizuri ya wabunge wa CHADEMA kama akina mchungaji Msigwa,Naomi Kaihula,John Mnyika,Chiku Agwao na Christina Lissu,kwa kweli CHADEMA wamewakandamiza kweli CCM,wabunge wa NCCR kama vile David Kafulila na James Mbatia wameshika nafasi ya pili,chama cha mapinduzi kimepata moja kwa kuwa wabunge wake akina Lusinde wamekalia majungu wabunge kumi wa CCM waliojitahidi kuongea ndo wamefanya chama chao kupata hiyo kura moja.
Kutokana na michango mizuri ya wabunge wa CHADEMA kama akina mchungaji Msigwa,Naomi Kaihula,John Mnyika,Chiku Agwao na Christina Lissu,kwa kweli CHADEMA wamewakandamiza kweli CCM,wabunge wa NCCR kama vile David Kafulila na James Mbatia wameshika nafasi ya pili,chama cha mapinduzi kimepata moja kwa kuwa wabunge wake akina Lusinde wamekalia majungu wabunge kumi wa CCM waliojitahidi kuongea ndo wamefanya chama chao kupata hiyo kura moja.