Umsolopogaas
Member
- Jul 18, 2010
- 40
- 11
Mbowe naona anakwenda bungeni kiulaini
Naona hawa Great Thinkers wa JF wengine hata kusoma hawawezi!
Mbowe naona anakwenda bungeni kiulaini
Naona hawa Great Thinkers wa JF wengine hata kusoma hawawezi!
Hai kituo cha Ofisi ya kijiji Kwasadala 1
Urais: ccm 118, CHADEMA 77
Ubunge: Fuya 75, Mbowe 118
Udiwani:ccm 87, CHADEMA 106
JAmani haya matokeo kidogo yananipa kizunguzungu, nasikia 'harufu ya panya'... Kura za Freeman zinafana na za JK na za Fuya zinakaribiana na za Slaa, hapa panahitaji uchambuzi wa kina kwa wenyeji tufahamisheni.
JIMBO LA HAI
Kituo cha Kata ya Machame Kusini
URAIS
1. Slaa - CHADEMA - 77
2. Kikwete - CCM - 55
UBUNGE
1. Freeman Mbowe - CHADEMA 95
2. Godwin Fuya Kimbita - CCM 39
UDIWANI
1. Richard Mtui - CHADEMA - 98
2. Naseeb - CCM -36
KITUO CHA OFISI YA KIJIJI KIMASHUKU 1.
URAIS
CHADEMA - 50
CCM - 121
UBUNGE.
Freeman Mbowe - CHADEMA - 76
Godwin Fuya Kimbita CCM - 98
UDIWANI
Richard Mtui - CHADEMA - 80
Naseeb - CCM -93
OFISI YA KIJIJI KIMASHUKU 2
Dr. Slaa - CHADEMA 48
Mh. Jakaya Kikwete - CCM-109
UBUNGE -
Freeman Mbowe - CHADEMA - 68
Fuya Kimbita - CCM 93
UDIWANI
Richard Mtui - CHADEMA - 65
Naseeb - CCM -93
MATOKEO YA ROMBO KITUO KIMOJA
MKUU - ITEFURONI
URAIS
CHADEMA - 309
CCM - 301
UBUNGE
Selasini - CHADEMA - 80
Mramba - CCM - 69
UDIWANI
CHADEMA - 38
CCM - 110
NAENDELEA KUKUSANYA TOKA VITUO VINGINE ENDELEA KUANGALIA NITAONGEZA
tuko pamoja mkuuTulisha lala sana hatuhitaji kulala tena.Leo tuko macho physically and psychologically
JAmani haya matokeo kidogo yananipa kizunguzungu, nasikia 'harufu ya panya'... Kura za Freeman zinafana na za JK na za Fuya zinakaribiana na za Slaa, hapa panahitaji uchambuzi wa kina kwa wenyeji tufahamisheni.
Nadhani huyu hakuwa na mpinzani!Habari nilizozipata muda huu Aggrey Mwanri ameshinda jimbo la Siha.