Elections 2010 Matokeo ya awali jimbo la Kilombero na matukio ya ajabu

Status
Not open for further replies.
Kilombero ina kata 23,nimeongoza kata 13.10 amechukua mwenzangu.Ushindani ni mkali sana ingawa nilimfunika sana kwenye kampeni alikuwa hafurukuti.

Hizo kata 13 umeongoza kwa kupata madiwani au kwa kura za ubunge tuu, maana kama umepata 13 kati ya 23 utakuwa umetwaa uongozi wa halmashauri
 
<p>
Habari wanaJF.Mpaka sasa CHADEMA tunaongoza kwa kura 1200 kwa kweli mchuano ulikuwa mkali sana,tulikabana koo si kitoto.Matokeo bado hayatangazwa,awali ilikuwa tutangaziwe saa 6 lakini tumeambiwa tuendelee kuvumilia mpaka saa 9 alasiri.Naamini mambo yatakuwa mazuri.Jimbo limerindima kwa nderemo na vifijo.Wanachama,wapenzi na washabiki wa CHADEMA wanazunguka huko na huko kushangilia ushinidi.Nasikitika sijapata madiwani wa kutosha kuchukua halmshauri.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Kilombero for change. </p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Asante MUNGU wangu ninayekutumikia.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Regia,Ofisi za Halmashauri (Bomani)-Ifakara.
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
Habari wanaJF.Mpaka sasa CHADEMA tunaongoza kwa kura 1200 kwa kweli mchuano ulikuwa mkali sana,tulikabana koo si kitoto.Matokeo bado hayatangazwa,awali ilikuwa tutangaziwe saa 6 lakini tumeambiwa tuendelee kuvumilia mpaka saa 9 alasiri.Naamini mambo yatakuwa mazuri.Jimbo limerindima kwa nderemo na vifijo.Wanachama,wapenzi na washabiki wa CHADEMA wanazunguka huko na huko kushangilia ushinidi.Nasikitika sijapata madiwani wa kutosha kuchukua halmshauri.

Kilombero for change.

Asante MUNGU wangu ninayekutumikia.

Regia,Ofisi za Halmashauri (Bomani)-Ifakara.

Tunashukuru kwa hizo update dada yetu, hapo ni kwamba mmeshamaliza kujumlisha matokeo au mmeshamaliza kata ngapi.. tuambie nafsi zetu ziwe na amani.
 
Habari wanaJF.Mpaka sasa CHADEMA tunaongoza kwa kura 1200 kwa kweli mchuano ulikuwa mkali sana,tulikabana koo si kitoto.Matokeo bado hayatangazwa,awali ilikuwa tutangaziwe saa 6 lakini tumeambiwa tuendelee kuvumilia mpaka saa 9 alasiri.Naamini mambo yatakuwa mazuri.Jimbo limerindima kwa nderemo na vifijo.Wanachama,wapenzi na washabiki wa CHADEMA wanazunguka huko na huko kushangilia ushinidi.Nasikitika sijapata madiwani wa kutosha kuchukua halmshauri.

Kilombero for change.

Asante MUNGU wangu ninayekutumikia.

Regia,Ofisi za Halmashauri (Bomani)-Ifakara.
Bless uu dada! Kwanza tushinde,kisha tusherekee na kipaumbele kuwatumikia wapiga kura wako kama vile kwa Mungu wako!
 
thanx josiah maana natokea kilombero nilikuwa natamani matokea hayo kwa hamu. tusubiri tuone mwisho wake utakuwaje maana michakachuo hii itatumaliza
 
Kilombero ina kata 23,nimeongoza kata 13.10 amechukua mwenzangu.Ushindani ni mkali sana ingawa nilimfunika sana kwenye kampeni alikuwa hafurukuti.

Tunakuombea saaaana kwa muumba wa mbingu na nchi ili ulitwae jimbo
 
Kilombero ina kata 23,nimeongoza kata 13.10 amechukua mwenzangu.Ushindani ni mkali sana ingawa nilimfunika sana kwenye kampeni alikuwa hafurukuti.
Ukilegeza tu wana chakachua, wekeni kambi hapo mapofanyia majumrisho
 
Habari wanaJF.Mpaka sasa CHADEMA tunaongoza kwa kura 1200 kwa kweli mchuano ulikuwa mkali sana,tulikabana koo si kitoto.Matokeo bado hayatangazwa,awali ilikuwa tutangaziwe saa 6 lakini tumeambiwa tuendelee kuvumilia mpaka saa 9 alasiri.Naamini mambo yatakuwa mazuri.Jimbo limerindima kwa nderemo na vifijo.Wanachama,wapenzi na washabiki wa CHADEMA wanazunguka huko na huko kushangilia ushinidi.Nasikitika sijapata madiwani wa kutosha kuchukua halmshauri.

Kilombero for change.

Asante MUNGU wangu ninayekutumikia.

Regia,Ofisi za Halmashauri (Bomani)-Ifakara.

Mungu akubariki dada angu! hakika utashinda

Usisahau nilikuomba kazi ya kuwa dereva ako.:smile-big::smile-big::hippie::hippie::hippie:
 
Hiyo imekaa BIEN!!!
Sijui waTZ walikuwa wapi kufumbuka mcho toka longu taimu!
Hongera dada yetu!
 
Dada Regia, kwanza pole sana kwa kazi kubwa na yenye uvumilivu mwingi....
Naomba nikukumbushe kwamba, majimbo yote ambayo tumeshinda, matokeo yamesomwa kwa kulazimishwa sana. Naomba tusifanye makosa tukaamini kwamba tumeshinda kirahisi, kaeni hapo hapo kama ilivyofanyika Ubungo, Nyamagana na Ilemela na hata mbeya. Pls usiwape nafasi hao watatufanya vibaya....

Kwa mara nyingine nakupa pole sana..
 
Hali si hali kwani baada ya MTEKETA kuonekana kuongoza mambo yamebadilika,na mwana JF mwenzetu biti MTEMA anaongoza kwa kura 1212 lakini hawataki kutangaza na wameanza kuchakachua wanasema watatangaza saa tisa.

Hizi ni habari za uhakika kutoka chanzo cha uhakika
 
Wooooww..
Jamani Regia wetu...
Waambie wananchi wasicheze mbali na eneo la tukio!
 
Mimi nilihisi tu halafu wananchi wa ifakara waoga wakiona magwanda wamekaa mbaaali tuombe mungu ccm wasifanikiwe kuchakachua result
 
Nguvu ya umma itumike. Watu wakubali kuwa mabadiliko hayaji kwa kukaa tunyumbani na kuangalia tv eti unasubiri matokeo! Nendeni pale halmashauri mshinikize kutangazwa kwa matokeo.

Ni kweli watawaumiza lakini si mbaya kuumia kwa ajili ya wengi; hata hao polisi wanafika mahali wanachoshwa na hali. Si mmeona ubungo polisi walivyochoka !
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom