Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Kilombero ina kata 23,nimeongoza kata 13.10 amechukua mwenzangu.Ushindani ni mkali sana ingawa nilimfunika sana kwenye kampeni alikuwa hafurukuti.
Hizo kata 13 umeongoza kwa kupata madiwani au kwa kura za ubunge tuu, maana kama umepata 13 kati ya 23 utakuwa umetwaa uongozi wa halmashauri