Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
Nadhani sasa wamejifunza, watakuwa waangalifu sana kugawa hela zao. Nadhani watazitoa kwa viapo kabisa.ngoja nianze kujenga nyumba kutokana na hela tuliyogawiwa na ccm arumeru, halafu kura tukapeleka chadema