Huko ni kwamba Wapinzani wameshinda. Lakini kwa maelekezo ya NEC/CCM, Wasimamizi hawaruhusiwi kutangaza hayo matokeo mpaka kwa kibali chao baada ya kuyafanyia MCHEZO MCHAFU au Uchakachuaji.
Hapa tunadanganyana THERE IS NO FREE AND FAIR ELECTIONS IN TANZANIA.
Kwanini NEC/CCM mnatuchezea akili????Yaani pale ambapo CCM mmeshinda mnatangaza chap chap. Lakini maeneo ambayo CHADEMA,CUF,NCCR,UDP wameshinda mnatoa sababu za KIPUMBAVU KABISA.
Mnataka kutupeleka kwenye machafuko kwasababu ya UJINGA WENU WA KUSHINDWA KUSOMA ALAMA ZA NYAKATI????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.