Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
1. Kukua kwa Muziki wa asili wa Taarab (ukiacha mipasho) na kurudi kwa wanamziki wa zamani wa taarab katika majukwaa ya burudani
2. Kuongezeka kwa ushindani na upinzani mkubwa kati ya Sikinde na Msondo, na kuongezeka kwa ushabiki wa bendi zetu za asili kutoka kwa vijana wa sasa ambao wengi walikuwa wametekwa na ushabiki wa muziki wa bandia wa bongo flavour
2. Kuongezeka kwa ushindani na upinzani mkubwa kati ya Sikinde na Msondo, na kuongezeka kwa ushabiki wa bendi zetu za asili kutoka kwa vijana wa sasa ambao wengi walikuwa wametekwa na ushabiki wa muziki wa bandia wa bongo flavour