Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe ndo maana tv za kibongo zilikuwa zinasuasua mi naona julio ni msemaji wa timu hiyo na sio kocha ni hayo tu r i p U 23 Tanzania..
Hiyo ni TV ya kijima
Jamani si muwe tu wazalendo? Msikimbie huko! Wengine tulishaacha kuhudhuria!tumepigwa la tatu, na watu wanaanza kuondoka.
Mimi sikuweza kukimbia, nguvu yenyewe yakuondoka nilikuwa nayo basi, kwanza nimeingia nimechelewa,kuiangalia screen inasoma 2 bila,pale pale nikawepo kuwepo,kipindi cha pili baada ya kupata goli kidogo matumain yakarejea ikabidi nijipongeze na soda, baadaye kidogo tukapigwa la tatu, du nikachoka kama kale kajamaa kwenye tangazo la coca.Jamani si muwe tu wazalendo? Msikimbie huko! Wengine tulishaacha kuhudhuria!
Ndo yale yale mi shazoea jamani TZ yetu hatufiki popote. Labda kucheza viduku ndo inaweza kututoa! achaneni na soccer jamani ramani yenu haisomeki na haitasomeka unless mikakati thabiti ya kuzibiti walafi pale tff.
Mimi sikuweza kukimbia, nguvu yenyewe yakuondoka nilikuwa nayo basi, kwanza nimeingia nimechelewa,kuiangalia screen inasoma 2 bila,pale pale nikawepo kuwepo,kipindi cha pili baada ya kupata goli kidogo matumain yakarejea ikabidi nijipongeze na soda, baadaye kidogo tukapigwa la tatu, du nikachoka kama kale kajamaa kwenye tangazo la coca.