tumepigwa la tatu, na watu wanaanza kuondoka.
yule Julio alikosea sana kujifanya anadedicate lile game aliloshinda kwa wakameruni, aliudedicate ule ushindi kwa Kikwete
full time tz 1- 3 Ug, 2-5 on aggreagate.Ndio watanzania tulivyo
Hivi sisi tunaweza nini jamani? hakuna hata kitu kimoja kinachotupa sifa hapa Duniani!!
full time tz 1- 3 Ug, 2-5 on aggreagate.
Tusilaumiane jamani,acheni tu tufungwe,sisi kuna vitu tunaviweza kama,ulevi,majigambo,fitina,majungu,ujuaji,ushirikina,ujanja ujanja,uzinzi na uasherati (siku hizi haya yamepewa jina nyororo yanaitwa,Ngono zembe/Ngono salama) japo matemdo yanabaki yaleyale maovu UZINZI/UASHERATI
hivi jamani hii TBC1 mbona wanaweza kurusha upupu wa CCM alafu wanaacha kutuletea matangazo ya mechi zetu live?tuwafanyeje hawa TBC,mpaka mechi ya leo hawataka kutuonyesha badala yake wanarusha nyimbo za mipasha na filamu za kikuda
au ****** alikuwepo maana yule jamaa nuksi kweli