Matokeo kidato cha nne yamechakachuliwa

CCM oyeeeee
Ukimya wangu humu jamvini ulinisogeza karibu na Wasahihishaji wa Mitihani ya Kidato cha nne.Wasahihishaji wamenidokeza kuwa kutokana na kufanya vibaya kwa wanafunzi wa kidato cha nne waliomaliza Oktoba mwaka jana kuliko hata mwaka uliotangulia 2010,Serikali iliamua kufanya 'Standardization' ya kuua rasmi elimu ya Tanzania.Habari zilizonifikia zinasema kuwa Daraja D limehesabiwa kuanzia alama 15,C-35,B-55 na A-75 badala ya 21,41,61 na 81 inavyotakiwa kuwa kwa madaraja husika.Kulitokea mvutano wa wazi katika kikao hicho cha 'kustandardize'.Serikali imelenga kutangaza kuwa Matokeo ni mazuri na ufaulu umepanda.Inajiandaa kujisifu kwa takwimu.Baraza haliko tayari kwa hilo.Mvutano.Hii ndio sababu hasa ya kuchelewa kutangazwa kwa matokeo hayo.Mwenye macho haambiwi tazama.
 
[h=3]P0101 AZANIA SECONDARY SCHOOL CENTRE
[/h][h=3]DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 29 FLD = 14[/h]Jamani nini kimetokea kwenye sekta ya Elimu?
Zamani wakati tunasoma ilikuwa, kama kijana hakuchagulliwa kwenda shule kama hii ya Azani, tambaza, Kwiro (kwa wale wa mikoani), Kilakala, na nyingine zinazofanana na hizo kwa shule za serikali, anaumia roho sana. Lakini siku hizi inaonekana hizi shule zilienda na elininyo. Is this the AZANIA ile ilioko pale karibu na Madaktari waliogoma? au ni nyingine?
Elimu ya Tanzania kwishney!
 
Waacheni hao wanafunzi waje, mpka watakapokuwa wamefikia Vyuo Vikuu, muone kitakachotokea,
 
HII NI BORA ELIMU TUU KINACHOFANYIKA, coz watoto wanagraduate bila elimu ya 4m 4
 
Back
Top Bottom