Nicazius
Senior Member
- Feb 6, 2008
- 143
- 17
Habari za KI-Intellegence: MATOKEO KIDATO CHA NNE NI STANDARDIZATION YA MATOKEO HALISI BAADA YA WANAFUNZI KUFELI KUPITA KIASI.
HABARI NILIZO ZIPATA KUTOKA SOURCE MOJA ILIYOKUWA KWENYE KUSAHIHISHA MITIHANI NI KUWA WANAFUNZI WALIFELI SANA MWAKA 2010 KIASI CHA HALI KUWA MBAYA NA NECTA KUAMUA KUFANYA STANDIZATION AMBAYO HAIJAWAHI KUTOKEA, KIASI KWAMBA BAADHI YA 'B' ZILIPELEKWA NA KUWA 'A' NA ZILE 'C' CHOKA MBAYA KUWA 'B'
MATOKEO YALIKUWA MABAYA ZAIDI KWENYE SHULE ZA KATA, KWANI MATOKEO YA SAFARI HII NDIYO UZAO WA KWANZA WA SHULE ZA KATA (SHULE ZA KIKWETE), SWALI NI KWANI NINI NECTA WALIAMUA KUFICHA UKWELI WA MATOKEO HALISI KIASI HIKI? AU WALIOGOPA WANANCHI KUHOJI MWASWALI NA KUJUA HALI ILIVYO MBAYA KWA SHULE ZA KATA?
NAENDELEA KUFANYA UTAFITI, NITAKUJA NA UKWELI ZAIDI...
HABARI NILIZO ZIPATA KUTOKA SOURCE MOJA ILIYOKUWA KWENYE KUSAHIHISHA MITIHANI NI KUWA WANAFUNZI WALIFELI SANA MWAKA 2010 KIASI CHA HALI KUWA MBAYA NA NECTA KUAMUA KUFANYA STANDIZATION AMBAYO HAIJAWAHI KUTOKEA, KIASI KWAMBA BAADHI YA 'B' ZILIPELEKWA NA KUWA 'A' NA ZILE 'C' CHOKA MBAYA KUWA 'B'
MATOKEO YALIKUWA MABAYA ZAIDI KWENYE SHULE ZA KATA, KWANI MATOKEO YA SAFARI HII NDIYO UZAO WA KWANZA WA SHULE ZA KATA (SHULE ZA KIKWETE), SWALI NI KWANI NINI NECTA WALIAMUA KUFICHA UKWELI WA MATOKEO HALISI KIASI HIKI? AU WALIOGOPA WANANCHI KUHOJI MWASWALI NA KUJUA HALI ILIVYO MBAYA KWA SHULE ZA KATA?
NAENDELEA KUFANYA UTAFITI, NITAKUJA NA UKWELI ZAIDI...