Mwaka huu na mwaka jana sijui afadhali upi. Hata hivyo, 3rd law of motion do apply. Wakati wengine watalia sana, wengine ni sherehe. Na wale viherehere waliokuwa wakisumbua humu jamvini, mtupe matokeo yenu. Hongereni wote mliofuzu
ndugu sekondari shule ya kata, ila dogo langu limepata div. 3 point 24, issue kombi hazija balance, dah! haya mambo ya private sijui kama ntayaweza.
cheki utaona saimon shekilango richard
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.