Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,197
Ok got you maana huku kwangu inafunguka kawaida haiko slow.
Nimeuliza kama tuyahamishie JF yote kama yalivyo hamkujibu; wacha nikale kuku mie....
mkuu naomba uweke ya jitegemeeSemeni shule gani kwa haraka mnahitaji nawawekea fasta hapa JF...
Naziweka ndani ya dakika 10 kama shule 10 hivi... 1 school 1 minute
pia mkuu naomba unisaide shule moja yenye namba S3674.. ni st .. millenium.Semeni shule gani kwa haraka mnahitaji nawawekea fasta hapa JF...
Naziweka ndani ya dakika 10 kama shule 10 hivi... 1 school 1 minute
duh mkuu pole sana maana nakumbuka tangu jana upo unaitafuta makongolosi sec, natumaini wakubwa watakusaidia coz kwangu huku asubuhi shule zote zilikuwa zinafunguka ila now hakuna kitu.Mimi niwekee makongolosi sec school, chumvi wazazi
duh mkuu pole sana maana nakumbuka tangu jana upo unaitafuta makongolosi sec, natumaini wakubwa watakusaidia coz kwangu huku asubuhi shule zote zilikuwa zinafunguka ila now hakuna kitu.
Check the 1st post
mkuu bado haujafanikiwa?Mimi niwekee makongolosi sec school, chumvi wazazi