MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Ccm imempa mke wake cuf kura nyingi du?
Tuwe wakweli uwezo wa mgombea wa CUF ulikuwa mkubwa (TASLIMA) hata kuliko wa mgombea wa chadema aliyepwaya sana jana (KOMU).
Ccm imempa mke wake cuf kura nyingi du?
Walisahau kundi la Wanaume, Watoto, Vijana, Wazee na Makundi ya kidini.
Yaani kwa kifupi namaanisha aliepanga uchaguzi wa kuwakilisha taifa uwe kwa makundi hana upeo mzuri wa mawazo. Hii ni kuligawa taifa na kupunguza uwajibikaji wa wahusika! kila mwakilishi hapo ana kundi lake na kibaya zaidi amepelekwa na chama fulani, kwa hiyo hoja itakayokua nje ya kundi lake au chama chake kilichompeleka haitapata msemaji mwenye kujua kwamba ni jukumu lake.
Ukweli hii nchi sasa imekuwa na mambo ya ajabu,hadi Bernard Mrunya nae eti leo hii anakuwa mbunge wa bunge la Africa Mashariki.
Demokrasia imetendeka.Naamini waliamua (CCM wengi) kumkomoa CDM na kuwapa NCCR na CUF.
Mfano kundi la kina mama. Ukijumlisha idadi ya kura zao (waliopigiwa kura) unakuta ni 588 lakini cha ajabu wabunge waliopiga kura walikuwa 305 tu. Hizo nyingine zimetokea wapi? Au kulikuwa na utaratibu gani wa kupiga kura?
Kila mbunge alitakiwa kuchagua watu watatu.Hivi inakuwaje ukipiga hesabu ya idadi ya kura kwa kila category unakuta imezidi idaidi ya wapiga kura ambao walikuwa 305 tu.
Hivi inakuwaje ukipiga hesabu ya idadi ya kura kwa kila category unakuta imezidi idaidi ya wapiga kura ambao walikuwa 305 tu.
Walisahau kundi la Wanaume, Watoto, Vijana, Wazee na Makundi ya kidini.
Yaani kwa kifupi namaanisha aliepanga uchaguzi wa kuwakilisha taifa uwe kwa makundi hana upeo mzuri wa mawazo. Hii ni kuligawa taifa na kupunguza uwajibikaji wa wahusika! kila mwakilishi hapo ana kundi lake na kibaya zaidi amepelekwa na chama fulani, kwa hiyo hoja itakayokua nje ya kundi lake au chama chake kilichompeleka haitapata msemaji mwenye kujua kwamba ni jukumu lake.
Ukweli hii nchi sasa imekuwa na mambo ya ajabu,hadi Bernard Mrunya nae eti leo hii anakuwa mbunge wa bunge la Africa Mashariki.
Tatizo kwa sasa CCM wanainjoy hiyo power waliyonayo ya mojority bungeni........... kunasiku watakuwa wanalilia hizo kanuni na sheria zibadilishwe wakati wapinzani watakuwa wameshika mpini. Time will tell!!
Matokeo ya bunge la EALA
3. Kundi la Wapinzani
No.
Jina
Chama
Kura
1
Nd. Antony Calist Komu
CHADEMA
93
2
Dkt. Fortunatus Lwanyantika Masha
UDP
58
3
Nd. Juju Martin Danda
NCCR-M
23
4
Nd. Micah Elifuraha Mrindoko
TLP
66
5
Nd. Mwaiseje S. Polisya
NCCR-M
42
6
Nd. Nderakindo Perpetua Kessy
NCCR-M
113
7
Nd. Twaha Issa Taslima
CUF
175
Hivi jamani, hadi leo sijaelewa jambo moja.Ali Hassan Mwinyi kazaliwa wapi? Na je ni Mbara au Mzanzibari??
Knowledge yangu inajua Mwinyi ni Mbara, Zanzibar kapelekwa na Ticha, akawe Rais, majuzi dogo wake - Hussen alikuwa mbunge wa Mafia, mara sasa hivi ni mbunge huko Z'bar.
Sasa na hapa naona dogo mwingine - Abdullah kaja na kura za Z'bar ilihali kila siku yuko huku Dar, na Hammer lake, na firm yake - pale Alpha House.
Au Zanzibar ndo kuna u-slope wa kura na sie twende!?
Hawa ndio walioshinda kuwa wabunge wa Afrika Mashariki ,Shayrose Banji,Anjela Charless Kizigha,Mwinyi Hassan,Taslim Twaha Issa, Kesi Ndelakindo Perepetua, Kimbisa Adam Omary,Murunya Bernad,Makongoro Nyerere na Yahya .
Tunawapongeza kwa ushindi huo na pia tunawatakia kila la kheri katika majukumu yaliyo mbele
Hivi kama vipi kumbe Mzenji akiona vipi anaweza kuja Bara kugombea Ubunge lakini M-bara hawezi kugombea ubunge Zenji! duh kweli Muungano huu ni uchawi mtupu.
6 | Nd. Nderakindo Perpetua Kessy | NCCR-M | 113 |
7 | Nd. Twaha Issa Taslima | CUF | 175 |