Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Mkuu nilipo bold ndipo habari yako nzima ilipolalia, hicho kitu labda kimeshaanza kutokea, hujiulizi kwa nini leo hamkufungua kampeni kama mlivyopanga?. Halafu kitu kingine this time husemi kwa tambo kama ulivyokuwa unafanya Igunga achana na Uzini ambapo hata kipofu alijua. Igunga pamoja na mikiki mikiki yako uliambulia difference ndogo sana, unategemea nini jimbo hili ambalo mko ugenini?Wana jf sijui kitu gani kitokee lakini nimeshazunguka kata kumi na tatu kati ya kumi na saba. Naona dalili ni kwamba hamna upinzani. Upinzani upo kata nne tu za barabara kuu. Kule kwingine naona CCM tu. Hapa mimi najua nashughulika na kata za barabarani tu. Naiona arumeru kama kwa Raza zanziba kule ndivyo ccm itashinda. Pia harakati za upinzani zimepoza kweli tofauti na igunga sijui nguvu iliishia huko. It is different. Happa kinachosaidia cdm ni umarufu binafsi wa mgombea. Lakini milaksti na juhudi kama zile za igunga sijaona labda bado. In short hapa ccm tunashinda labda dunia iishie tar 31 machi