Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
..nilikuwa kule mzalendo.net nikakutana na malalamiko ya waZNZ kuhusu matokeo ya form 4.
Kama huyu mlalamikaji ndo msomi/mzazi wa zanzibar basi tutarajie jamii ya wa wajinga namba moja duniani kutokea hapo zanzibar.
Mtoto anapofaulu mtihani kwa kuibia ni kujidanganya yeye mwenyewe, watoto wanaolelewa na wazazi wenye mitazamo kama ya huyu mlalamikaji wa zenji hupelekea kuzalisha kizazi cha wajinga ambao watazidi kuifanya zenji kubaki nyuma kitaaluma milele.
Mtoto asiyejisomea kwa jitihada hawezi kufaulu, na mtoto anayejisomea hawezi kupoteza muda wake kuingia na FUTUHI kwenye chumba cha mtihani.
Ni dhahiri mlalamikaji huyu wa zenji anatetea uovu kwa kutumia kivuli cha UISLAM bila kujua kuwa kwa kufanya hivi ni kuzidi kujididimiza kifikra yeye kama yeye pamoja na watoto wa kiislam (regadless of their religious belief) anaowatetea kwa hoja dhaifu za kutafutiza huruma za wananchi kwa kutumia dini.
Otherwise ni ngumu sana mtoto kufaulu kama mda mwingi ataupoteza kufanya maandamano ya kushinikiza uongozi wa shule kujenga msikiti shuleni hapo badala ya kuconcetrate na masomo.