Matokeo darasa la saba., vigezo vipi vinatumika kuchaguliwa vipaji maalum?

Mporipori

Member
Nov 22, 2010
44
0
Ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu, wadau naomba mchango wenu.. Hivi vigezo gani vinatumika kuamua kwamba huyu aende shule ya vipaji maalumu na huyu aende shule ya kata..? Na kam vipo, kwa nini vigezo havijawekwa hadharani? & why wengi wenye vipaji wanaachwa wapotelee shule za kata..? na why wanafunzi shule za vipaji kuna baadhi wanapata div. IV na wengine hata div. ZERO...?
 
dah,darasa la saba bwana!
me nakumbuka enzi zile vijijini tulikua tunachanga hela kwa ajili ya kupewa majibu ya mtihani,hata sikumbuki maswali mimi nilipewa majibu,nika copy na nikatoka kwenye mtihani mwishoni!

Ila bahati nzuri nilichana na nikaenda shule nzuri kweli,na Mungu mkumbwa nilikua/niko vyema sana kichwani nilifaulu kila mitihani iliyo fuata hadi leo chuo kikuu!

Kama kigezo bado ni hiki cha nani kachana zaidi ya wengine inabidi wafikirie upya maana sio kila mtu anafanya mtihani wa darasa la saba
 
Ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu, wadau naomba mchango wenu.. Hivi vigezo gani vinatumika kuamua kwamba huyu aende shule ya vipaji maalumu na huyu aende shule ya kata..? Na kam vipo, kwa nini vigezo havijawekwa hadharani? & why wengi wenye vipaji wanaachwa wapotelee shule za kata..? na why wanafunzi shule za vipaji kuna baadhi wanapata div. IV na wengine hata div. ZERO...?

Mporipori umetoka Porini leo !
Mkuu jukwaa hili ni la siasa cheki la Elimu.
 
Back
Top Bottom