wataka kumkosoa Muumba au?
ahaaa ,ahaaaa ,teehMbavu zinauma sana kwa kucheka,.***** wewe ulipokuwa unayakanda na kuyanyonya ulikuwa unajiona kama upo peponi vile!!miraha ilikuwa ni noma sasa yametepeta unataka dawa hata babu wa loliondo hana tiba.
Acheni hizo. Leo nimeamini ndo mnafanya dada zetu waharibike. Kama kashazeka astafu maravidavi, muda wake umeisha hawezi kurudi nyuma. Ushauri ninao na siutoi.