Habari zenu wana JF,
Mimi ni mwanamke 26yrs nina kama miezi miwili tangu nigundue tatizo la matiti yangu kutoa maziwa.Mwanzo nilihisi nitakuwa nina mimba ila nimejaribu kucheki hakuna na mzunguko wangu wa hedhi upo kawaida kabisa!
Ninaomba msada wenu nina tatizo gani au ni kawaida?huwa yanatoka nikiyabinya.
Natanguliza shukrani.
Mimi ni mwanamke 26yrs nina kama miezi miwili tangu nigundue tatizo la matiti yangu kutoa maziwa.Mwanzo nilihisi nitakuwa nina mimba ila nimejaribu kucheki hakuna na mzunguko wangu wa hedhi upo kawaida kabisa!
Ninaomba msada wenu nina tatizo gani au ni kawaida?huwa yanatoka nikiyabinya.
Natanguliza shukrani.