Mrekebishaji
Senior Member
- Mar 19, 2009
- 168
- 63
Ndugu zangu,
Naomba msaada wa vitu gani ni muhimu kwa chumba cha kufanya uchunguzi wa macho ya uoni hafifu kiastahili kiwe(necessities for Low Vision Test room to be). Naombeni ushauri. namaanisha mwanga pengine uweje, je mapazia meusi au meupe.
Naomba msaada wa vitu gani ni muhimu kwa chumba cha kufanya uchunguzi wa macho ya uoni hafifu kiastahili kiwe(necessities for Low Vision Test room to be). Naombeni ushauri. namaanisha mwanga pengine uweje, je mapazia meusi au meupe.