Matibabu ya maana na ya haraka ni kwa madkatari wenyewe tu!

Avanti

JF-Expert Member
Aug 24, 2010
1,209
239
Picha gazeti la Mwananchi leo na hata taarifa nyingi ndani ya JF na kwingineko zinaonesha Muhimbili sasa wanamtibu Ulimboka tu. Machine inayosaidia kuangalia kila kitu kuhusu afya ya binadamu imefungwa kwake ikianzia kupima mapigo ya moyo na kadhalika na viungo vyote vya mwili. Ni adimu sana raia mwingine asiye Dokta, hata awe ameumia kiasi gani, iwe kwa ajali ama vinginevyo kufungiwa machine kama hiyo. Ilinichukua siku 6 kwa mama yangu kuchunguzwa tatizo lake la kuumia nyonga baada ya kudondoka, tulipomleta toka mkoani walipoturefer Muhimbili. Kwa kusaidiwa na wanakijiji wenzangu tulikodi gari ili kuweza kuwahi matibabu Muhimbili, lakini baada ya kufika tulisubirishwa siku 6 zingine na mpaka anapata huduma tulishakata tamaa tukijua atatuacha hasa tokana na uchovu ambao tayari alikuwa nao, kumbuka hapo hata mgomo haukuwepo. Pamoja na kuwa yawezekana madaktari wanadai haki lakini ubinadamu nafikiri wanadhani upo kwa wao wenyewe tu, wanatibiana bila masharti na pia wanatumia vifaa vya Serikali hiyo hiyo wanayoilalamikia. To hell you doctors and your cockroach government all the same!
 
Hata hao Madaktari sio wasafi, wana makosa mengi tu. Kwa ujumla kila mahali kumeoza. Madaktari wanapaswa kusitisha mgomo ili kuokoa maisha ya wanyonge wengine.

Huu si muda wa kuwatesa wanyonge, hakuna aliye na haki na asiyekuwa na haki. Watanzania wote tunapaswa kubadilika na kujipanga kwa manufaa ya wote. Mgomo wa Madaktari unachochea roho ya chuki kwa wale wanaoumia bila hatia.
 
Sio kila mgonjwa anatakiwa awekewe hiyo mashine unayosema ulimboka amewekewa, kuna indications huyu ulimboka amepata multiple injuries so vitals zake zinahitaji kuwa monitored 24/7. Kama nimekuelewa vizuri mama yako alikuwa ameumia 'nyonga'(hip dislocation),hiyo sio mojawapo ya indications za kuwekewa hiyo mashine. Kuhusu shida ulizopata katika kupata matibabu ya mama,pole sana lakini hapo madokta hawana kosa,ni kutokana na msongamano wa wagonjwa na upungufu wa watoaji huduma,hata sisi madaktari hatufurahishwi na hali hiyo,na ni mojawapo ya sababu za mgomo,ulitakiwa uilalamikie serikali yako kwa ubovu wa huduma za afya,siyo madaktari.
 
Sio kila mgonjwa anatakiwa awekewe hiyo mashine unayosema ulimboka amewekewa, kuna indications huyu ulimboka amepata multiple injuries so vitals zake zinahitaji kuwa monitored 24/7. Kama nimekuelewa vizuri mama yako alikuwa ameumia 'nyonga'(hip dislocation),hiyo sio mojawapo ya indications za kuwekewa hiyo mashine. Kuhusu shida ulizopata katika kupata matibabu ya mama,pole sana lakini hapo madokta hawana kosa,ni kutokana na msongamano wa wagonjwa na upungufu wa watoaji huduma,hata sisi madaktari hatufurahishwi na hali hiyo,na ni mojawapo ya sababu za mgomo,ulitakiwa uilalamikie serikali yako kwa ubovu wa huduma za afya,siyo madaktari.

Kama hataelewa hili jibu Avanti, basi ana matatizo... hivi kweli ni sawa na kusema kila mgonjwa anaye kwenda muhimbili basi apewe ARV.. ungekubali Avanti mama yako apewe ARV, au aongezewe damu kwa tatizo la hip dislocation?
 
Picha gazeti la Mwananchi leo na hata taarifa nyingi ndani ya JF na kwingineko zinaonesha Muhimbili sasa wanamtibu Ulimboka tu. Machine inayosaidia kuangalia kila kitu kuhusu afya ya binadamu imefungwa kwake ikianzia kupima mapigo ya moyo na kadhalika na viungo vyote vya mwili. Ni adimu sana raia mwingine asiye Dokta, hata awe ameumia kiasi gani, iwe kwa ajali ama vinginevyo kufungiwa machine kama hiyo. Ilinichukua siku 6 kwa mama yangu kuchunguzwa tatizo lake la kuumia nyonga baada ya kudondoka, tulipomleta toka mkoani walipoturefer Muhimbili. Kwa kusaidiwa na wanakijiji wenzangu tulikodi gari ili kuweza kuwahi matibabu Muhimbili, lakini baada ya kufika tulisubirishwa siku 6 zingine na mpaka anapata huduma tulishakata tamaa tukijua atatuacha hasa tokana na uchovu ambao tayari alikuwa nao, kumbuka hapo hata mgomo haukuwepo. Pamoja na kuwa yawezekana madaktari wanadai haki lakini ubinadamu nafikiri wanadhani upo kwa wao wenyewe tu, wanatibiana bila masharti na pia wanatumia vifaa vya Serikali hiyo hiyo wanayoilalamikia. To hell you doctors and your cockroach government all the same!

kwa hiyo hutaki au?
 
Picha gazeti la Mwananchi leo na hata taarifa nyingi ndani ya JF na kwingineko zinaonesha Muhimbili sasa wanamtibu Ulimboka tu. Machine inayosaidia kuangalia kila kitu kuhusu afya ya binadamu imefungwa kwake ikianzia kupima mapigo ya moyo na kadhalika na viungo vyote vya mwili. Ni adimu sana raia mwingine asiye Dokta, hata awe ameumia kiasi gani, iwe kwa ajali ama vinginevyo kufungiwa machine kama hiyo. Ilinichukua siku 6 kwa mama yangu kuchunguzwa tatizo lake la kuumia nyonga baada ya kudondoka, tulipomleta toka mkoani walipoturefer Muhimbili. Kwa kusaidiwa na wanakijiji wenzangu tulikodi gari ili kuweza kuwahi matibabu Muhimbili, lakini baada ya kufika tulisubirishwa siku 6 zingine na mpaka anapata huduma tulishakata tamaa tukijua atatuacha hasa tokana na uchovu ambao tayari alikuwa nao, kumbuka hapo hata mgomo haukuwepo. Pamoja na kuwa yawezekana madaktari wanadai haki lakini ubinadamu nafikiri wanadhani upo kwa wao wenyewe tu, wanatibiana bila masharti na pia wanatumia vifaa vya Serikali hiyo hiyo wanayoilalamikia. To hell you doctors and your cockroach government all the same!

Kinachosumbua mkuu hapa kwetu ni doctors to patient ratio na ndicho kilicho mchelewesha mama yako kutibiwa wagonjwa ni wengi kuliko watoa huduma.
 
Picha gazeti la Mwananchi leo na hata taarifa nyingi ndani ya JF na kwingineko zinaonesha Muhimbili sasa wanamtibu Ulimboka tu. Machine inayosaidia kuangalia kila kitu kuhusu afya ya binadamu imefungwa kwake ikianzia kupima mapigo ya moyo na kadhalika na viungo vyote vya mwili. Ni adimu sana raia mwingine asiye Dokta, hata awe ameumia kiasi gani, iwe kwa ajali ama vinginevyo kufungiwa machine kama hiyo. Ilinichukua siku 6 kwa mama yangu kuchunguzwa tatizo lake la kuumia nyonga baada ya kudondoka, tulipomleta toka mkoani walipoturefer Muhimbili. Kwa kusaidiwa na wanakijiji wenzangu tulikodi gari ili kuweza kuwahi matibabu Muhimbili, lakini baada ya kufika tulisubirishwa siku 6 zingine na mpaka anapata huduma tulishakata tamaa tukijua atatuacha hasa tokana na uchovu ambao tayari alikuwa nao, kumbuka hapo hata mgomo haukuwepo. Pamoja na kuwa yawezekana madaktari wanadai haki lakini ubinadamu nafikiri wanadhani upo kwa wao wenyewe tu, wanatibiana bila masharti na pia wanatumia vifaa vya Serikali hiyo hiyo wanayoilalamikia. To hell you doctors and your cockroach government all the same!

...they are more than cockroach my friend
 
Hata hao Madaktari sio wasafi, wana makosa mengi tu. Kwa ujumla kila mahali kumeoza. Madaktari wanapaswa kusitisha mgomo ili kuokoa maisha ya wanyonge wengine.

Huu si muda wa kuwatesa wanyonge, hakuna aliye na haki na asiyekuwa na haki. Watanzania wote tunapaswa kubadilika na kujipanga kwa manufaa ya wote. Mgomo wa Madaktari unachochea roho ya chuki kwa wale wanaoumia bila hatia.

Utaokoa vipi maisha wakati hakuna vifa vya matibabu kama vile sindano za kuwekea dripu, vacuum pump za kuwatolea vichanga maji machafu wanayomeza wakati wa kujifungua, hamna dawa n.k ilihali fedha zote zinzpelkwa Usiwisi
 
Picha gazeti la Mwananchi leo na hata taarifa nyingi ndani ya JF na kwingineko zinaonesha Muhimbili sasa wanamtibu Ulimboka tu. Machine inayosaidia kuangalia kila kitu kuhusu afya ya binadamu imefungwa kwake ikianzia kupima mapigo ya moyo na kadhalika na viungo vyote vya mwili. Ni adimu sana raia mwingine asiye Dokta, hata awe ameumia kiasi gani, iwe kwa ajali ama vinginevyo kufungiwa machine kama hiyo. Ilinichukua siku 6 kwa mama yangu kuchunguzwa tatizo lake la kuumia nyonga baada ya kudondoka, tulipomleta toka mkoani walipoturefer Muhimbili. Kwa kusaidiwa na wanakijiji wenzangu tulikodi gari ili kuweza kuwahi matibabu Muhimbili, lakini baada ya kufika tulisubirishwa siku 6 zingine na mpaka anapata huduma tulishakata tamaa tukijua atatuacha hasa tokana na uchovu ambao tayari alikuwa nao, kumbuka hapo hata mgomo haukuwepo. Pamoja na kuwa yawezekana madaktari wanadai haki lakini ubinadamu nafikiri wanadhani upo kwa wao wenyewe tu, wanatibiana bila masharti na pia wanatumia vifaa vya Serikali hiyo hiyo wanayoilalamikia. To hell you doctors and your cockroach government all the same!

Sasa kwa matatizo ya mama yako unamlalamikia nani, mathalni katika bajeti hii inayojadiliwa bungeni Wizara ya Afya imeomba Bilioni 198 kwa ajili ya kununulia dawa na vifaa vya matibabu na imetengewa Bilioni 78 tu. Hapo makosa ya madakatari yako wapi? Hata wao ni binadamu wameshasema wamechoka kuona watanzania wenzao walipoteza maisha kwa kukosukana vifaa vya matibabu na dawa vya gharama nafuu. Mara nyini hufikia hatua madakatari kutoa fedha zao mfukoni ili kununua baadhi ya vifaa vya kuokao maisha.
 
Jamani hili jambo liko mahakamani msiongele!!!, ugonjwa nao utaahirishwa na spika usije kwa vile jambo liko mahakamani, with no end, tumekwisha
 
madaktari wenye visasa, uanaharakati, hasira na uadui...... hawawezi kutufikisha mbali! EWE MUNGU tusaidie kuwabadilisha viumbe wako. mnategemea nini hivi vyama vya wanaharakati kwa mfano LHRC cha mama bisimba, vinapokua msitari wa mbele kuunga mkono wa madaktari ili watanzania wafe!?

legal and human rights centre (LHRC) kuna neno human right hapa. haki kuu ya mwanadamu ni KUISHI. anaejiita mtetezi wa haki za binadamu kisha akawa anapuuzia haki ya msingi ya KUISHI kwa kuhamasisha madaktari wagome, inaonesha jamii yetu imepotoka.



pana jambo hapa. mgomo huu una siri nzito sn! MADAKTARI WOTE MUNGU AWALAANI!!!!!!!!!!!!!!!!! AMEEN
 
Wakuziba ulaaniwe wewe mnafiq unayechukulia mambo kijuu juu bila kutafuta ufumbuzi wa muda mrefu, Na kunyoishea vidole wenzio na kushindwa kujitambua.
 
madaktari wenye visasa, uanaharakati, hasira na uadui...... hawawezi kutufikisha mbali! EWE MUNGU tusaidie kuwabadilisha viumbe wako. mnategemea nini hivi vyama vya wanaharakati kwa mfano LHRC cha mama bisimba, vinapokua msitari wa mbele kuunga mkono wa madaktari ili watanzania wafe!?

legal and human rights centre (LHRC) kuna neno human right hapa. haki kuu ya mwanadamu ni KUISHI. anaejiita mtetezi wa haki za binadamu kisha akawa anapuuzia haki ya msingi ya KUISHI kwa kuhamasisha madaktari wagome, inaonesha jamii yetu imepotoka.



pana jambo hapa. mgomo huu una siri nzito sn! MADAKTARI WOTE MUNGU AWALAANI!!!!!!!!!!!!!!!!! AMEEN
Tatizo wewe hautaki kuelewa,na sisi madaktari mungu hata tulaani,mpaka kieleweke na lolote na liwe
 
Avanti
Pamoja na kuwa yawezekana madaktari wanadai haki lakini ubinadamu nafikiri wanadhani upo kwa wao wenyewe tu, wanatibiana bila masharti na pia wanatumia vifaa vya Serikali hiyo hiyo wanayoilalamikia

Mkuu, heshima yako. Madaktari wanailalamikia Serikali kwamba vifaa kama anavyofungia Dr Ulimboka havitoshi ukilinganisha na idadi ya wagonjwa wanaohudumiwa na vingine kukosekana kabisa. Sasa vile anavyotumia Dr Ulimboka vimetoka wapi? Si ndiyo swali lako? Vimetokana na mgomo ambao umewakimbiza wagonjwa wengi kutoka Muhimbili na vitanda viko wazi. Kama Dr Ulimboka angepata mkasa huu kabla ya mgomo angelazwa chini kukwepa kuambiwa ma-Dr wanajipendelea. Na hii ndiyo ma-Dr hawataki. Kwa nini wagonjwa wao walazwe chini na wakose dawa au kulazimishwa wakanunue kwenye ma"Duka la Dawa Muhimu" ili hali nchi yetu ni tajiri sana tu? Serikali wanajua kwamba kwenye hospitali zetu hakuna vitanda wala dawa wala miundombinu mizuri (k.v. Umeme wa uhakika) ndiyo maana wanakimbilia India. Nani anataka kufa kwa sababu tu kwamba pamoja na juhudi ya Dr kukufungia mashine ya kupulia na kumwacha nurse akuangalie, TANESCO wakakata umeme na mashine ikazima? Dr alitaka kukuokoa, TANESCO na ufisadi wao wakakumaliza?
 
Back
Top Bottom