Kecha Boksi
Member
- Nov 5, 2010
- 55
- 107
Habari wana JF?
Ni mara yangu ya kwanza kuanzisha uzi humu, ila ni mfuatiliaji mzuri wa JF .:wave::wave::wave:
Naomba msaada wa kujua ni hospitali ipi / zipi kwa hapa Tanzania wanatoa matibabu ya Keloid (abnormal scar). Nipo mkoa wa jirani na Dar ila nina uwezo wa kufika hospitali yeyote kwa kadri ya ushauri wenu.
Natanguliza shukrani.
Ni mara yangu ya kwanza kuanzisha uzi humu, ila ni mfuatiliaji mzuri wa JF .:wave::wave::wave:
Naomba msaada wa kujua ni hospitali ipi / zipi kwa hapa Tanzania wanatoa matibabu ya Keloid (abnormal scar). Nipo mkoa wa jirani na Dar ila nina uwezo wa kufika hospitali yeyote kwa kadri ya ushauri wenu.
Natanguliza shukrani.