Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,434
- 113,444
Wanabodi,
Wimbi la Tanzania kuwapeleka wagonjwa wetu nchini India kwa matibabu, limeendelea.
Kwa vile mimi ni mmoja wa Watanzania niliotibiwa nchini, India, nakubali kuwa India inasaidia kwa baadhi ya magonjwa na gharama zake ni nafuu, lakini kwa magonjwa complex, India si lolote, si chochote, ni biashara tuu!
Nitaendelea.
Pasco.
Wimbi la Tanzania kuwapeleka wagonjwa wetu nchini India kwa matibabu, limeendelea.
Kwa vile mimi ni mmoja wa Watanzania niliotibiwa nchini, India, nakubali kuwa India inasaidia kwa baadhi ya magonjwa na gharama zake ni nafuu, lakini kwa magonjwa complex, India si lolote, si chochote, ni biashara tuu!
Nitaendelea.
Pasco.