BBJ
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 1,181
- 160
Kama wataalam wenyewe ndo wale wanaofanya operation ya kichwa badala mguu tutaweza kweli?Wacha waende India tu.Kwa nini tusiwe na hospitali hapahapa nchini ambazo zinatoa huduma bora zaidi ili na sisi tuhudumie viongozi wa nchi nyingine?