Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Malkia wa Uingereza alimwita ROBERT HOOKE,baada ya ugunduzi wa Hooke's Law iliyopelekea kutengenezwa mashine imara kwa matumizi mbalimbali!
R.Hooke aliombwa achague zawadi yoyote ile!Akamtuma mfanyakazi wa mfalme alete Draft(Lina vyumba 64) na kumwambia kwenye chumba cha kwanza aweke punje moja ya mchele;chumba cha pili punje 2;chumba cha tatu punje 4(2*2);Chumba cha nne punje 8 (2*2*2); na kuendelea hadi mwisho!
Malkia alicheka akidhani ni zawadi ndogo,lakini ilichukua mwezi mmoja kufikia chumba cha 20na by the time mchele wote wa uingereza ulikuwa unaishia!
Kingefikia cha 64,mchele wa dunia nzima usingetosha!!!!!
R.Hooke aliombwa achague zawadi yoyote ile!Akamtuma mfanyakazi wa mfalme alete Draft(Lina vyumba 64) na kumwambia kwenye chumba cha kwanza aweke punje moja ya mchele;chumba cha pili punje 2;chumba cha tatu punje 4(2*2);Chumba cha nne punje 8 (2*2*2); na kuendelea hadi mwisho!
Malkia alicheka akidhani ni zawadi ndogo,lakini ilichukua mwezi mmoja kufikia chumba cha 20na by the time mchele wote wa uingereza ulikuwa unaishia!
Kingefikia cha 64,mchele wa dunia nzima usingetosha!!!!!