Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,256
Mkuu pazuri sanaaaaaaaaaaa!!! Nchii ina vitu vizuri bwana, basi tu kina JK vichwa vya nazi!
Vipi bia zimeisha.....! naona hiyo chupa kama iko tupu vile?
Mkuu pazuri sanaaaaaaaaaaa!!! Nchii ina vitu vizuri bwana, basi tu kina JK vichwa vya nazi!
Vipi bia zimeisha.....! naona hiyo chupa kama iko tupu vile?
Kichwa cha nazi ni baba'ko, ingekuwa sio lami anazotandaza JK ungefika huko?
Kichwa cha nazi ni baba'ko, ingekuwa sio lami anazotandaza JK ungefika huko?
Mkuu mahali hapo ni pazuri sana.
Nilipopata bia moja tu ule upepo mwanana uliniacha hoi.
The plce is beutiful, hapo ni kwa Lenner yele mjerumani.
Kichwa cha nazi ni baba'ko, ingekuwa sio lami anazotandaza JK ungefika huko?
Yeah the place is beautiful!
Lakini inaonesha ni picha zamani
enzi za hizo chupa za Kilimanjaro
Yes mkuu na hapo ni mi mwenyewe baada ya safari ndefu. Nina thousands of pics frm my archive na Matema if anything,has gotten better.