Baada ya mdahalo wa mgombea Uraisi wa chama cha CHADEMA siku ya jumamosi, niltembelembelea mitaa siku ya jumapili ili kupata maoni ya wakazi wa jiji la DSM, nikafika katika masakani ya wavuta unga(mateja) nikawauliza.
Mimi- mnajua uchaguzi mkuu wa mwaka huu unafanyika lini?
mateja- wakajibu tarehe 31-10-2010
mimi- nikawauliza je mnawajua wagombea wa uraisi
mateja- wakajibu ndio
mimi- mnaweza kunitaji
mateja- handsboy(kikwete) na bob silaa(dr slaa) na prof lipumba
mimi- nikauwaliza kati ya hao nani mnamkubali
mateja- wakajibu bob silaa
mimi- niwauliza kwa sababu gani?
mateja- wakajibu sera zake mwanagu siumesikia mwenyewe jana anasema akiingia mjengoni anashusha bei ya bati na udongo ulaya(cement) babaake bob sila
mimi- nikauliza kwanini msimchague kikwete?
mateja- wakajibu handsome ametuyayusha mwanangu amesema maisha bora lakini watu ndio tunazidi kuumia kila kukicha mambo balaa babaake safari mambo yote kwa bob silaa(dr silaa)
Mimi- mnajua uchaguzi mkuu wa mwaka huu unafanyika lini?
mateja- wakajibu tarehe 31-10-2010
mimi- nikawauliza je mnawajua wagombea wa uraisi
mateja- wakajibu ndio
mimi- mnaweza kunitaji
mateja- handsboy(kikwete) na bob silaa(dr slaa) na prof lipumba
mimi- nikauwaliza kati ya hao nani mnamkubali
mateja- wakajibu bob silaa
mimi- niwauliza kwa sababu gani?
mateja- wakajibu sera zake mwanagu siumesikia mwenyewe jana anasema akiingia mjengoni anashusha bei ya bati na udongo ulaya(cement) babaake bob sila
mimi- nikauliza kwanini msimchague kikwete?
mateja- wakajibu handsome ametuyayusha mwanangu amesema maisha bora lakini watu ndio tunazidi kuumia kila kukicha mambo balaa babaake safari mambo yote kwa bob silaa(dr silaa)