Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Aaah, kaa kwenye dini yako hiyohiyo, mpango wa mkulu mliyempigia kampeni kwenye nyumba za ibada ni kuwazawadia vyuo vingine viwili maana toka mpewe muslim university hamjapewa kingine. This time mnakabidhiwa SUA, hombolo na ustawi wa jamii - Kijitonyama maana serikali imeshindwa kuviendesha
Kwa mwendo huu siku si nyingi nitabadili dini na kuwa mkristo..naona hawa wenzetu wana hekima sana