Matawi ya CCM ndani ya vyama vya Upinzani

Mkuu Pindamilia,
Asante sana kwa mchango wa mawazo yako katika hili suala.
Benjamini William Mkapa alikula kiapo cha kuilinda Tanzania, watanzania na mali zao kwa moyo wake wote, nguvu zake zote na akili zake zote. Hii ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kwamba mali na utajiri wa nchi unakuwa chini ya wananchi, na wala si chini ya wageni ama watu wachache na ni kitu ambacho hata yeye mwenyewe Mkapa kwa sasa anakubali kwamba alifanya kosa na anajutia.
Kama Raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania alipaswa kuelewa kwamba yuko pale ikulu kwa ajili ya Watanzania na si vinginevyo. Tumejionea wazi kwamba Mkapa amevunja ama amekiuka kiapo alichokula. Alipageuza ikulu kuwa ofisi za ANABEN LTD kitu ambacho hakupaswa kufanya na wala hakijawahi kutokea katika Historia yetu ya Tanzania kampuni binafsi kuandikishwa na kutumia anuani ya Ikulu. Unakumbuka Bill Clinton alipofanya tendo la ngo'no white house na Monica Lewinski nini kilimkuta?
Mkapa kwa kutumia madaraka aliyokuwa nayo alijiuzia kiwira cool mine (kwa faida yake na kundi lake) na si kwa faida ya watanzania, kitu ambacho hakupaswa kabisa kufanya hivyo. Ukweli ni kwamba Mkapa ana kesi kubwa sana ya kujibu kwa Watanzania na hakuna sababu ya kumtetea.

Matokeo ya Mkapa kuwa Ikulu ni pamoja na Watanzania kuwa wageni katika nchi yao na kundi kubwa la Wananchi ni masikini wa kupindukia, wachache ni matajiri wa kutisha mpaka wanauwezo wa kujiwekea dhamana mahakamani ya Shs bil 6 bila shaka wala hofu.
Wakati huohuo tunasafiri kwenda nchi za nje kuomba msaada wa kuchimbiwa kisima cha maji kinachogharimu shs mil 138 tu kitu ambacho tungeweza kufanya wenyewe kama utawala wa Mkapa ungekuwa makini na kuwajibika kwa wananchi ipasavyo.
Mkapa ametuacha pabaya na kamwe Watanzania hatuwezi kumsamehe kwa uchafu alioufanya.

Mkuu Kidatu,

Pamoja na maelezo yako mazuri nadhani tuiangalie hoja iliyopo mbele yetu hasa tunapochangia thread hii.
Mimi ningependa kuona kuwa unam-challenge Dk. Mvungi kwa kutuambia kitaalam zaidi kuwa wewe una hoja gani.
Tueleze kuwa sheria inayoweza kutumika ni ipi na vifungu gani na chances za kumtia hatia ziko vipi, hapo tutakuwa tunakwenda pamoja lakini hii habari yakuendelea kutuambia amefanya biashara, kiwira, ANBEN nk siyo habari mpya. Tumekwishazisikia siku nyingi sioni sababu ya kuzirudiarudia.
Pili, nilitumia neno muungwana na kukuomba uangalie kama matamko yako katika posting yako ya awali yanalingana na ukweli uliopo, nazidi kukukumbusha kwa vile umesahau kuyajibu hapo juu, tumia uungwana wako kuomba radhi kwa yale uliyoyapotosha. Kufanya hivyo kutakujengea heshima zaidi mbele ya watu wengine.
 
Fataki,
Mkuu nakuomba soma vizuri maelezo ya mtu kabla hujaanza kukashifu maanake sioni kabisa ndani..unachosema wewe ndicho nilichoandika isipokuwa nime question sheria kama jinsi Dr. Mvungi anavyojaribu kutuhadaa..

Hakuna sehemu nimekataa maelezo ya Outliner ila nimetumia mfano wa ndoa dhidi ya ngono ambayo ndiyo imeandikwa ktk sheria hizi. Kumbuka hata huko nyuma nimesema sio lazima kila kitu kiandikwe specific ktk sheria ndio tuweze kupokea kukatazwa kwa jambo fulani. Na nimetumia Ndoa kwa sababu sheria zetu zinazungumzia zaidi ngono (sexual intercourse), hivyo kuna wajanja wanasheria kama Dr. Mvungi wanaweza kusema nionyeshe ni wapi ktk sheria zetu imesema NDOA ya hao watu imekatazwa!..

Sasa mtu kama mimi nikienda ktk sheria nitakuta inazungumzia ngono zaidi na sio NDOA pamoja na kwamba najua kabisa kuwa ndoa na ndugu au familia yako ni haramu...kimsingi inaturudisha kule kule kwenye ngono lakini kutotajwa kwake isiwe sababu ya kuhalalisha..
Section 158 (1) ya panel code yetu inasema:- Any male person who is prohibited sexual intercourse with female person, who is to his knowledge his granddaughter, sister or mother, commits the offence of incest, and is liable upon conviction..
Blaa blaa blaaa..
Kwa hiyo mjinga fulani anaweza kuhoji - imekatazwa ngono sasa NDOA na NGONO wapi na wapi! akajenga hoja ambazo kwa sababu haikuandikwa wazi kuhusiana na NDOA basi sisi tukubali kuwa kuoa mama au dada yako sio an offence of incest na kwamba tunajenga emotions tu!...
Kwa hiyo nakuomba unielewe kwamba nafahamu kuwa kuoa mama yako au dada yako ni makosa makubwa, iwe nazungumza kwa emotions au chochote kile mtakachotaka kusema sawa na Mkapa ambaye katuibia mali zetu kisha wanataka tuwaonyeshe ktk sheria ni kifungu gani kinachomkataza Mkapa kufungua ofisi Ikulu (ndoa) bila hoja zao kuandamana na madhambi ya wizi alofanya (ngono)..
 
Mkuu Pundamilia, nimefuatilia hoja zako na mkulu Mkandala. Samahani kama ntakukwaza lakini ukweli unanidhamu ya woga juu ya kiwango cha taalamu ya mtu.

bm21,
Ninakushauri kuwa siku zote ujifunze ku-appreciate hoja ambayo ni ya msingi hata kama inatoka kwa mtu ambaye unatofautiana. Mimi nime-appreciate mchango wa Dk. Mvungi kama msomi, mwanazuoni aliyebobea katika fani ya sheria, sasa hiyo hoja ya kuwa ninanidhamu ya uoga kwa vile Mvungi ni Daktari wa Sheria haileti maana yeyote. Inapofikia kuongelea masuala ya kitaalam, nitaweka uzito zaidi kwa kumsikiliza yeyote yule ambaye ni mtaalam bila ya kujali kama ninatofautiana naye.


Pundamilia kuwa Dr. sio kwamba unajua kila kitu na haimaanishi unachokisema watu wasikichalleng. Kauli yako yakwamba kumpinga Dr. Mvungi bila hoja za kitaalamu ni ujua, ni feki na inadidimiza uwezo wa kujiamini hasa kwa watu ambao hawajafikia academic maturity.

I wish unge-rephrase hayo maneno hapo juu, hivi kweli daktari ananiambia kuwa nina malaria, halafu ninaamua tu kwa sababu zangu kumkatalia sina malaria eti nikikubali nitakuwa ninadidimiza uwezo wangu wa kujiamini. Huu ndio ule ujuha ambao nimesema siwezi kuufanya, kama ninataka kumkatalia daktari sina malaria basi nimweleze kitaalam kabisa kwanini ninasema sina malaria na si vinginevyo. Kukataa na kutoa sababu kuwa mimi sijaumwa na mbu mwezi mzima, au ninalala kwenye chandarua siku zote haziwezi kujenga hhoja ya kusema huna malaria. Nimeenda shule kwa kiasi changu kwahiyo najua kuthamini kazi za watu wengine hasa pale anapo'base kwenye facts. Hata mhadhiri anapokufundisha hufikia wakati anakutaka uende ukafanye research ili ujithibitishie mambo mengi mwenyewe na kujenga uelewa mpana.

Nashukuru mkulu Mkandala amaendelea kukuelimisha japo inaonekana unagoma kuelewa. Anacho kisema Mkandala ndio uhalisi wenyewe sipendi nami nirudie kitu hicho hicho. Naamini Dr. mvungi ametoa tamko hili akiwa na dhamira tofauti kabisa na miiko ya taaluma yake. Ni aibu kauli za msomi kama huyu kusikika ulimwenguni zikiwa na udhaifu wa wazi kiasi hicho.

Be positive to remain healthier

---------------------------------------------------------------
 
Kwa kuwa umeamua kuwa mouthpiece wa Bw. Mvungi na kwa kuwa yeye mwenyewe hajakanusha yaliyoandikwa na Kidatu, naomba umfikishie ujumbe kama ni muungwana aombe radhi kwa matamshi yake ambayo yametukera sana wengine na hayakufaa kutolewa na yeyote mwenye nia njema na taifa letu.



Kwa kuwa wewe ni msemaji wa CCM, nakuomba uwaambie CCM kuwa kama wanahusika kwa namna yoyote basi wanapaswa kuomba radhi kwa matamshi ya Bw. Mvungi.



Na wewe ukumbuke kuwa kuna wanasheria wengine wengi tu ambao hawakubaliani na Bw. Mvungi na hawasukumwi na hicho kilichomsukuma Bw. Mvungi kusema aliyoyasema.


Sheria yetu mama inasema kuwa "no one is above the Law" na wezi hawatabaguliwa kulingana na nafasi au hadhi zao. Ni mahakama tu itakayo toa hukumu lakini kabla ya hapo shutuma zetu zinabaki pale pale.


Kama wewe huwezi kuona tija at the end of the day, huo ni upofu wako. Mimi najua hili litakuwa fundisho babu kubwa kwa yeyote atakayepewa madaraka ya kuongoza nchi hii. Wanaotafuta mitaji ya kisiasa ni hao wanaokubali kuwa vibaraka na wananchi wameanza kuwashtukia.



Kwanza unaanza vibaya - ni wanaojiita viongozi ama ni viongozi ?. Hii peke yake inanifanya nisiyatiilie sana maanani mawazo yako. Kama unadai viongozi ama wabunge hawaangalii na kuzingatia sheria (hiyo ni tafsiri yako) - kwa nini hawachukuliwi hatua ? Je, ni kwa nini watuhumiwa hawaendi mahakani ila kubaki wakilialia na kutetewa na akina Bw. Mvungi ?


Hilo mbona liko wazi - wezi watapelekwa tu mahakamani na kama marekebisho yanahitajika, yatafanywa. Sasa bila hizo unazoita kelele haya yatawezekana vipi ?



Once is chance, twice is coincidence but third time is a call for action.


Kwa vyovyote vile unaonekana upo jukwaani kumpendeza mtu ama kikundi cha watu. Kwa maneno yako mwenyewe kama huna ushahidi na madai yako yaliyobeba kichwa cha habari basi huna haki ya kuendelea kupotosha umma kwa manufaa yako binafsi au kikundi chako. Usiku mwema.

Mkuu Mag3,
Pamoja na maelezo yako marefu, Je, wewe ndiye msemaji wa Kidatu?


Toa boriti ndani ya jicho lako kabla hujaelekeza kidole kwangu
 
"Matawi ya CCM ndani ya vyama vya Upinzani: Upinzani wa kweli hakuna Tanzania. Vyama vingi vya upinzani ni matawi ya CCM ama kuna watu wa CCM wamepandwa ndani yake. Ukombozi wa Mtanzania uko mbali sana. Angalieni upuuzi wa msomi na mwanasheria aliyebobea"


Mtoa mada #1: Punguja jazba na support hoja zako kwa fact (nguvu ya hoja). Heading hapo jua pamoja na intro yako (kwenye mabano) havibebi ujumbe uliotaka kuwafikishia wana JF. Why??? Kwa sababu:-

1. Dr. Mvungi ametoa mawazo yake (honest facts) kutokana na taaluma yake. Na ndivyo ilivyo, sheria ya kumshitaki Mkapa haipo. Hajamtetea Mkapa kwa kufanya biashara na kujinufaisha akiwa Ikulu, hapa anaungana na watanzania wote kulaani na kukemea kitendo hicho, lakini sheria ya kumhitaki hatuna. Nchi yetu imejaa wana sheria bingwa na waliobobea, baada ya Dr. Mvungi kutoa maoni yake ya kitaalam ni vizuri wakajitokeza waweze kutusaidia kutuonyesha sheria hiyo iwapo kama ameipotosha jamii ya watanzania juu ya hilo.

2. Ujumbe wa Dr. mvungi:- "Laws are never perfect". Huwezi kutunga sheria inayoziba mianya yote, kwa sababu sheria zinatungwa kwa ajili ya jamii. Lakini jamii inabadilika kila siku. Hivyo sheria zinabadilika kutokana na mabadiliko kwenye jamii. Mf. Wakati wanatunga sheria ya mambo ya urais (presidential act), Rais wa wakati huo (Mwl. Nyerere/Mwinyi) na viongozi wengine walikuwa waadilifu, hivyo hakuna mtunga sheria aliyedhani watakuja Marais na viongozi wasiowaadilifu na hivyo kipengele cha kumbana Rais asifanye biashara akiwa Ikulu hakikudhaniwa.

3. Turekebishe sheria zetu:- Ni wakati wa kuangalia tulipoangukia na si pale tulipojikwaa. Kama sheria hiyo ina mapungufu ni wakati mwafaka wa kuirekebisha.

Mwisho:- Naungana na watanzania wengine kulaani na kukemea kitendo cha BMW kufanya biashara akiwa Ikulu.
 
Pundamilia07,
Mkuu nakuelewa sana points zako lakini tatizo ni kwamba unachukua maelezo ya Dr. mvungi kuwa ndio mada yenyewe wakati swala hapa ni kumfikisha Mkapa mahakamani kwa kipengele nje kabisa ya jinsi alivyoweka madai yake dr. Mvungi..

Mkuu, tuachane naye huyo Dr. Mvungi, nikupe jinsi nionavyo mimi..
Mkapa alipofungua ofisi yake Ikulu inawezekana hakuwa na makosa or let's say hana makosa kisheria wala kienyeji lakini siku alofungua ofisi yake na kui register he became an entrepreneur. Hapa hu waive kiti chake cha urais kila alipokuwa ofisi ya hilo shirika lake akizungumza kama CEO na mfanyabiashara..
Na ndipo sisi wananchi tunapotaka kumshitaki yeye kama CEO wa shirika lililofanya Ufisadi...Huyo Entreprenuer Mkapa!
Hakuna mtu anayetaka kumshitaki Mkapa kwa jambo lolote alofanya kama Rais iwe kubinafsisha au makosa yaliyotokana na kubinafsisha kwani hata Nyerere na Mwinyi wote walifanya makosa kama hayo - ktk kiti cha Urais ndipo sheria inapowapa kinga, lakini yule Mkapa wa pili ambaye ni CEO, sijui mfanyabiashara hana kinga hii na wasomi wengi kina Mvungi wanataka kutuvika kanzu sisi kwa kutumia sheria zinazo mkinga Mkapa kama rais wa nchi wakitupilia mbali kuwa Mkapa alikuwa mfanyabiashara.
 
Pundamilia07,
Mkuu nakuelewa sana points zako lakini tatizo ni kwamba unachukua maelezo ya Dr. mvungi kuwa ndio mada yenyewe wakati swala hapa ni kumfikisha Mkapa mahakamani kwa kipengele nje kabisa ya jinsi alivyoweka madai yake dr. Mvungi..

Mkuu, tuachane naye huyo Dr. Mvungi, nikupe jinsi nionavyo mimi..
Mkapa alipofungua ofisi yake Ikulu inawezekana hakuwa na makosa or let's say hana makosa kisheria wala kienyeji lakini siku alofungua ofisi yake na kui register he became an entrepreneur. Hapa hu waive kiti chake cha urais kila alipokuwa ofisi ya hilo shirika lake akizungumza kama CEO na mfanyabiashara..
Na ndipo sisi wananchi tunapotaka kumshitaki yeye kama CEO wa shirika lililofanya Ufisadi...Huyo Entreprenuer Mkapa!
Hakuna mtu anayetaka kumshitaki Mkapa kwa jambo lolote alofanya kama Rais iwe kubinafsisha au makosa yaliyotokana na kubinafsisha kwani hata Nyerere na Mwinyi wote walifanya makosa kama hayo - ktk kiti cha Urais ndipo sheria inapowapa kinga, lakini yule Mkapa wa pili ambaye ni CEO, sijui mfanyabiashara hana kinga hii na wasomi wengi kina Mvungi wanataka kutuvika kanzu sisi kwa kutumia sheria zinazo mkinga Mkapa kama rais wa nchi wakitupilia mbali kuwa Mkapa alikuwa mfanyabiashara.

Mkuu Mkandara,
Imebidi nicheke kidogo kwa jinsi ulivyoweka mzunguko ambao mwisho libaki swali la kuku na yai kipi kilichoanza.

Je, unataka Mkapa ashitakiwe kwa kosa gani?
Je, ashitakiwe kama nani na kwanini?
Je, sheria gani, kifungu kipi ambacho kitatumika?
 
Pundamilia07,
Je, unataka Mkapa ashitakiwe kwa kosa gani?
Je, ashitakiwe kama nani na kwanini?
Je, sheria gani, kifungu kipi ambacho kitatumika?
__________________

Mkuu, swali la mwisho nitawaachia wanasheria...Kwa lugha yako ya maswali naweza kuuliza hata makosa ya kina Yona, Mramba, Jeetu, Johnson na wengine wote wanaofikishwa mahakamani leo...
Kama ni uamuzi wangu basi huyu jamaa yangu yangemkuta yale sawa na vibaka wa Kariakoo au Samuel Doe..Lakini kama mwananchi mwenye uchungu na nchi yangu nawakilisha mashtaka yangu kama yalivyo, wewe tafuta sheria ya kumfungulia mashtaka...

For chronological purposes, the beginning of the story can be traced back to 1999, when Mr Mkapa and first lady Anna Mkapa founded a private company called ANBEM Limited while they were still occupying public office at State House.

This company would in late 2004 enter into a partnership with another private company, DEVCONSULT Limited, in which Yona and his son are sole shareholders, to establish Tanpower Resources Limited.

They were joined in the Tanpower Resources shareholding structure by at least three more companies, two which were Fosnik Enterprises in which the ex-president’s son Nicholas Mkapa and his wife Ms Foster (Mbuna) Mkapa are sole shareholders and Choice Enterprises whose majority shareholder is Nicholas’ father-in-law Joseph Mbuna.

And hardly six months after its formation, the seemingly obscure Tanpower Resources swiftly moved in to take over the Kiwira Coal Mine - with very few people in government actually aware of the real, powerful forces behind the company.

Following is a chronology of official events and happenings, backed by a paper trail of evidence, that suggest a planned and systematic abuse of public office by people perched at the very top of government, culminating in the takeover of the potentially very rich (and formerly state-owned) Kiwira Coal Mine in Mbeya Region:

June 22, 1999

While serving as sitting president and first lady of the United Republic, Mr and Mrs Mkapa officially registered ANBEM Limited in Dar es Salaam as a private company in which they were sole directors, shareholders and 'entrepreneurs', as described in the company documents.

Among other things, the stated objectives of ANBEM Ltd include: "To carry on business and to act as merchants, general traders, warehouse, stockists, shopkeepers and operators of supermarkets, commission agents and carriers."

From 1999 to 2005 - when Mr Mkapa completed his second and final term in office as per national constitution the private business affairs of ANBEM Ltd were conducted from registered offices at Plot Number 15, Luthuli Road, which is a building within the official State House walls in Dar es Salaam.

July 2002

When ANBEM Limited was three years old and with its sole shareholders still occupying public office at Ikulu - the company applied for and was granted a loan of $500,000 (approx. 650m/-) from the National Bank of Commerce (NBC) Limited. This loan came on the heels of a heated national debate over the privatization of the previously state-owned bank, which was fiercely opposed, amongst others, by the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, until his death in 1999.

Several members of parliament from both ruling and opposition parties were also strongly against the bank's privatization, arguing that the once-giant national institution was being sold off far too cheaply. But as eventually transpired, the privatization of the then NBC (1997) Ltd still went ahead as scheduled, with the formation of NBC Ltd in April 2000 and acquisition by South Africa's ABSA Group of 70 per cent of the bank's shares - for a reported total price of just 15bn/-.

Records will show that Mr Mkapa, as sitting president, was always a vocal supporter of the bank's privatization process resulting in its takeover by ABSA Group - whose direct association with NBC actually began in August 1999 when the South African firm effectively started managing the bank at the request of the third phase government under Mr Mkapa.

December 2002

A few months after securing the NBC Ltd loan, ANBEM Ltd landed another big credit-line in the form of a 250m/- loan granted by CRDB Bank Limited. During the same year, the then president Mkapa announced a cabinet reshuffle which included the appointment of senior cabinet minister Daniel Yona to head the crucial energy and minerals portfolio.

As the minister for energy and minerals, Yona’s duties included overseeing the then still state-owned Kiwira Coal Mine Limited, and coordinating its pending privatisation process.

December 29, 2004

The registration of Tanpower Resources Company Limited - a private company formed as a joint brainchild of then president Mkapa and energy and minerals minister Yona is completed, with its stated objectives including to carry on the business of miners of coal and iron; to process such coal and iron and generally treat, prepare, render marketable, sell and dispose of such coal and iron or by-products resulting therein in their raw or manufactured state.”

The company is also licensed to ”deal with coal mining in order to generate electricity for consumption and sale; to generate power generators, transmitters and general distributors; and to provide power and general projects management, project appraisers and consultants.”

At the time of its registration, the first listed directors of Tanpower Resources were the then first lady Mrs Anna Mkapa; the then minister for energy and minerals Daniel Yona; Nicholas Mkapa (the president and Mrs Mkapa’s son); Joseph Mbuna (Nicholas Mkapa’s father-in-law); and one Evans Mapundi. Mrs Mkapa sat on the board as a representative of ANBEM Limited: Yona from DEVCONSULT Ltd; Mkapa junior from Fosnik Enterprises; Mbuna from Choice Enterprises; and Mapundi representing yet another company, Universal Technologies Limited, in which he shares ownership with one Wilfred Malekia.

During this period, Mr Mkapa and Yona - through their positions in government - were deeply and directly involved in the pending privatisation of the Kiwira Coal Mine.

Mid 2005

Tanpower Resources enters into a joint venture with the government and acquires 70 per cent of the shares in Kiwira Coal Mine. The private company later increases its shareholding in the coal mine to 85 per cent, leaving the government with just 15 per cent.

The president’s son, Nicholas, is appointed a member of the renamed Kiwira Coal and Power Limited company board of directors, while his father-in-law Joseph Mbuna becomes board chairman. Other shareholders of Tanpower Resources, Wilfred Malekia and Evans Mapundi, are also named on the new Kiwira board.

The privatised Kiwira Coal and Power Ltd is also given control of the Kabulo coal prospect, a separate additional area owned by the government with proven lucrative coal deposits. The State Mining Corporation (STAMICO), a government-owned agency, is kicked out of the Kabulo project which has proven reserves of up to 14 million tonnes of coal.

December 2005

President Mkapa retires from office at the end of his final two terms in office, as per national constitution. Yona also announces his retirement from active politics.

March 2006

On the basis of fast-tracked negotiations already concluded by the Mkapa administration, the fourth phase government under President Jakaya Kikwete signs a 20-year deal worth all of $271m (approx. 340bn/-) with the Kiwira coal-fired power project. But government officials now privately tell THISDAY that the contract, which is basically between Kiwira Coal and Power Limited and the Tanzania Electric Supply Company (TANESCO), is steeped in controversy and dubious details - and could end up being an expensive quagmire for the national economy on a scale even worse than the infamous IPTL affair of 1995.

August 2007

THISDAY begins publishing exclusive reports on the Mkapa-Yona link in the Kiwira coal project. The Tanpower Resources file, which had been missing in public records, mysteriously resurfaces, but with a one-page resolution now inserted inside which purports to show that ANBEM Ltd (the company owned by the ex-president and his wife) forfeited its 200,000 shares in Tanpower Resources on January 10, 2005.

However, the former president’s son Nicholas continues to sit on the Kiwira board, while Yona - who started Tanpower Resources with Mkapa senior in 2004 - also remains a shareholder. According to our highly-placed sources, ANBEM Ltd has since regained its shares in Tanpower Resources - and is still a major shareholder todate.
 
Last edited:
Inawezekana kweli Mkapa yuko safi kabisa? na yote hata aliyojiuzia bila kufuata taratibu sio kinyume cha sheria?.

Kwa maana hiyo wote waliohusika na Richmnond, IPTL, Meremeta nk wanasakamwa bure tu kwa sababu za "wivu" na "uvivu wa kufikiri". Na kama hii ndio hali halisi, basi watu wengi tunaosoma postings zao huku wanachuki binafsi na watu na wala sio wenyekuipenda nchi kama wanavyojaribu kuudanganya umma.
 
Mkuu Kidatu,

Pamoja na maelezo yako mazuri nadhani tuiangalie hoja iliyopo mbele yetu hasa tunapochangia thread hii.
Mimi ningependa kuona kuwa unam-challenge Dk. Mvungi kwa kutuambia kitaalam zaidi kuwa wewe una hoja gani.
Tueleze kuwa sheria inayoweza kutumika ni ipi na vifungu gani na chances za kumtia hatia ziko vipi, hapo tutakuwa tunakwenda pamoja lakini hii habari yakuendelea kutuambia amefanya biashara, kiwira, ANBEN nk siyo habari mpya. Tumekwishazisikia siku nyingi sioni sababu ya kuzirudiarudia.
Pili, nilitumia neno muungwana na kukuomba uangalie kama matamko yako katika posting yako ya awali yanalingana na ukweli uliopo, nazidi kukukumbusha kwa vile umesahau kuyajibu hapo juu, tumia uungwana wako kuomba radhi kwa yale uliyoyapotosha. Kufanya hivyo kutakujengea heshima zaidi mbele ya watu wengine.

Sikiliza Pundamilia,

Mimi si mwanasheria lakini si kipofu kiasi cha kushindwa kuona na kuelewa machafu yaliyofanywa na Mkapa akiwa pale Ikulu.
Bila shaka Mkandara amekueleza bayana kwamba Mkapa hakupaswa kuwa na kofia mbili ndani ya Ikulu (moja kama raisi na moja kama mfanyabiashara). Na tokana na kofia ya ufanyaji biashara ndipo tunaposimamia kwamba ni lazima ashitakiwe. Kwa kutumia kofia hii ameliibia taifa.

Dr Mvungi amesema kwamba haoni sababu ya Mkapa kupandishwa kizimani kwa sababu haoni kipengele cha sheria kinachoweza kutumika kumpeleka Mkapa Mahakamani, huo ni uwongo na uzandiki wa hali ya juu. Ni wazi kwamba Mkapa amekiuka katiba ya nchi, ameliibia na kulitia hasara taifa. Wezi wa kuku na mafisadi wengine wanapelekwa mahakamani kwa kosa la kuiba, kwanini Mkapa (mwizi) nayeye asipelekwe mahakamani kwa kutumia kifungo hichohicho?. Huoni kama Dr Mvungi hajui anachoongea ama kwa makusudi kabisa anapindisha ukweli?. Ni nani katika Tanzania asiyejua kwamba Mkapa KATUIIBIA NA KUTUTIA HASARA?.
Wananchi wenye hasira ni kwa bahati mbaya sana hawana uwezo wa kumtia Mkapa mikononi kwani wanaweza kumpa kipigo kama vile wanavyowapiga wezi wengine.
Sioni sababu ya kuwaomba CCM msamaha kama ulivyosema. Ukweli unajionesha kwamba Dr Mvungi ni kada wa CCM, nje ya CCM lakini dhidi ya maadui wa CCM. Kama msomi na mtu mwenye upeo anajua ukweli kwamba Mkapa alituiibia kama Mkapa kwa kutumia kofia ya ANABEN na wala si kama Raisi wa nchi na sheria za nchi zinasema mwizi ni lazima apelekwe mahakamani kujibu mashitaka. Inasikitisha sana kuona mwanasheria kama yeye na ni kiongozi wa "chama cha upinzani" kujifanya haoni ukweli huo. Dr Mvungi ana kila sababu ya kuwaomba radhi Watanzania wote kwa kauli yake potofu.
 
Ndio maana nasema kuwa hakuna wa kumshitaki mkapa hata hao walioshitakiwa wote watashinda kesi zao na kulipwa fuidia kamambe, kwa gharama za walipa kodi wa tanzania.

Kuna cartel ya wizi wa mali za watanzania kwa kutumia wanasheria ambao wanapitia sheria zote kabla ya wizi kufanyika ili wasiweze kushitakiwa at the end
 
mtaamu aliyebobea kwenye sheria huyo anasema kwamba mkapa hakuvunja sheria yoyote kufanya biashara ikulu
haya dr.slaa nakuona unafuatilia thread hii na wenzako mtuambie na nyie mmeijulia wapi sheria iliyovunjwa na mkapa,mtamshitaki kwa sheria ipi,dr mvungi kawapa homework mlete hiyo sheria ili muijadili naye tuone nani mtaalam na nani kilaza wa sheria
 
mtaamu aliyebobea kwenye sheria huyo anasema kwamba mkapa hakuvunja sheria yoyote kufanya biashara ikulu
haya dr.slaa nakuona unafuatilia thread hii na wenzako mtuambie na nyie mmeijulia wapi sheria iliyovunjwa na mkapa,mtamshitaki kwa sheria ipi,dr mvungi kawapa homework mlete hiyo sheria ili muijadili naye tuone nani mtaalam na nani kilaza wa sheria

Kakulwa,
Nadhani huu ndiyo mwelekeo ninaouona kuwa unatija ndani yake. Tunataka tupate darasa kutoka kwa wataalam wengine wa sheria watueleze na wao wanalipi juu ya maelezo ya kitaalam ya Dk. Mvungi.

Mkandara na Kidatu,

Nadhani bado mnajitahidi kukwepa kutoa maelezo kama nilivyouliza. tumeshaskia tuhuma dhidi ya Mkapa. kilichopo mbele yetu ni maelezo ya mtaalam wa sheria ambayo mnajaribu kuyapinga bila ya hoja yeyote yenye nguvu. Hoja zenu zimekuwa ni nyepesi kwani hazilengi kuonesha kuwa Mkapa Je, ashitakiwe kwa Kosa gani,
Je, ashitakiwe kama nani na kwanini?
Je, sheria gani, kifungu kipi ambacho kitatumika?

Mkiweza kuja na majibu ya maswali hayo hapo juu nadhani mtakuwa ndani ya mjadala kwa kurejea maelezo ya Dk. Mvungi. Vinginevyo sitaki kujifanya ninaijua sheria wakati si kweli. Sheria ni taaluma kama zilivyo taaluma nyingine kama Utabibu, Uhandisi nk

Kinachotakiwa ni maelezo ya kutosha na ya kitaalam, tusitwange maji kwenye kinu.
 
Kakulwa,
Nadhani huu ndiyo mwelekeo ninaouona kuwa unatija ndani yake. Tunataka tupate darasa kutoka kwa wataalam wengine wa sheria watueleze na wao wanalipi juu ya maelezo ya kitaalam ya Dk. Mvungi.

Mkandara na Kidatu,

Nadhani bado mnajitahidi kukwepa kutoa maelezo kama nilivyouliza. tumeshaskia tuhuma dhidi ya Mkapa. kilichopo mbele yetu ni maelezo ya mtaalam wa sheria ambayo mnajaribu kuyapinga bila ya hoja yeyote yenye nguvu. Hoja zenu zimekuwa ni nyepesi kwani hazilengi kuonesha kuwa Mkapa Je, ashitakiwe kwa Kosa gani,
Je, ashitakiwe kama nani na kwanini?
Je, sheria gani, kifungu kipi ambacho kitatumika?

Mkiweza kuja na majibu ya maswali hayo hapo juu nadhani mtakuwa ndani ya mjadala kwa kurejea maelezo ya Dk. Mvungi. Vinginevyo sitaki kujifanya ninaijua sheria wakati si kweli. Sheria ni taaluma kama zilivyo taaluma nyingine kama Utabibu, Uhandisi nk

Kinachotakiwa ni maelezo ya kutosha na ya kitaalam, tusitwange maji kwenye kinu.


mkuu
Tatizo letu sisi ni maneno mengi na kujifanya wajuaji ndiyo shida ya kutanguliza siasa kwenye kila jambo na mwisho wake tunakwama.Huyo mleta mada anaweka heading eti matawi ya ccm ndani ya upinzani wakati ukiipitia habari nzima hakuna popote utasoma habari ya ccm au tawi la ccm upinzani.Na Mvungi kaweka clear kabisa kwamba pamoja na mkapa kuukandamiza upinzani lakini isitumike kama sababu ya kumpakazia kesi kwa sababu kwa yeye kufanya biashara ikulu hakuna kipengere cha sheria alichovunja.sasa badala ya sisi kuja na majibu ya kitaalam kwa kuonyesha hicho kipengere cha sheria kilichovunjwa,tunaanza siasa na jazba.sasa mvungi kama msomi aliyebobea kwenye sheria kwanini asitoe maoni yake akiona vilaza wameivamia fani ambayo yeye amebobea?eti akifanya hivyo ni msaliti?yaani aache kuheshimu code of ethics ya profession yake kwa kuogopa kuonekana msaliti?
haya wataalam wa sheria mvungi kawapa homework,leteni hicho kipengere hili mkijadili naye tuone nani mkweli..
 
Pundamilia07,
Mkuu naona hapa tutakesha...yaani maelezo yangu yote toka huko nyuma umeshindwa kuyaelewa unachotaka sasa hivi mimi niwe mwanasheria na kutaja kosa gani, ashitakiwe kama nani na pia kifungu gani...
Kwanza kabisa lazima ukubali kwamba Mkapa ameisha kutwa na makosa isipokuwa wanasiasa na wanasheria wengi wanakubaliana na KINGA alokuwa nayo dhidi ya mashtaka yoyote akiwa kama rais, na ndilo tatizo tulilokuwa nalo toka mwanzo na mimi nimesema hiyo kinga haiwezi kuwepo upande wa pili wa Mkapa akiwa kama Entreprenuer, na shirika lake limehusika na hujuma za Uchumi hivyo hiyo kinga yake haipo kwa huyu Mkapa mfanyabiashara... Ni sawa na Mkapa aki rape mwanamke tutamhukumu Mkapa mwanamme aliye rape na kwamba kinga yake inahusiana tu na maswala yanayohusiana na kiti chake cha urais ktk kuongoza nchi...Hivyo hata kama ametumia cheo chake cha Urais kufanya alofanya.. Kosa lake litakuwa Rape na abuse of power!.. hivyo kosa la Mkapa ni kuhujumu Uchumi wetu.

Mkuu ukitazama hata kesi ya radar huko Uingereza wamefikia kufanya uchunguzi ambao ulitokana na kuhusika kwa waziri wao mkuu na taasisi za nchi yao acha mbali kutafuta kwa kosa gani..Sisi tumeshindwa hata kufanya uchunguzi tu acha kumsimamisha mahakamani!... Kisha neno kosa kidogo lina mapungufu kiutaalam kwani kosa hutokana na makosa kufanyika wakati hujuma sio kosa ni shitaka la makusudi..

Kuhusiana na taaluma ya Utabibu, mkuu wangu unachoshindwa kuelewa ni kwamba sisi tunachotaka ni mgonjwa wetu kufika hospital tunafahamu anaumwa Maleria na vipimo vyote vimeonyesha kuwa mgonjwa ana Maleria, hakuna mtu anaye suggest ni dawa gani apatiwe isipokuwa tunachoomba ni tiba tu..Sasa anapokuja mtaalam na vitabu vyake na kutwambia kwamba mgonjwa huyu hawezi kutibika kutokana na sheria za hospital hiyo hali dawa na tiba wanazo huoni kama wanataka kutuulia jamaa yetu!..
Hata huyo mhandisi, tunapokea elimu yake ktk kutafuta solution aau njia bora zaidi kutuwezesha kuepuka makosa na hakuna mtu anayepingana na maelekezo ya elimu hiyo kuhusiana na ushauri huo isipokuwa tu elimu butu ambayo waliipata on the plate wakala wakashiba kile walichoandaliwa na wanashindwa kutazama nje ya bun ndio inatupa shida zaidi ktk dunia ya leo ambayo sisi tumetoka ktk Ujamaa ambako hatukuwa na vitu hivi..
Hii ya Dr. Mvungi sio elimu hata kidogo imepitwa na wakati, dunia ya leo elimu inazidi kupanuka kila siku hata virusi (virus) hu adapt dose fulani inatakiwa kubadilisha dose na ingredience according to...
Hata hiyo Chloroquine siku hizi haitibu tena Maleria, usinambie hakuna dawa mkuu!
 
Last edited:
Pundamilia07,
Mkuu naona hapa tutakesha...yaani maelezo yangu yote toka huko nyuma umeshindwa kuyaelewa unachotaka sasa hivi mimi niwe mwanasheria na kutaja kosa gani, ashitakiwe kama nani na pia kifungu gani...
Kwanza kabisa lazima ukubali kwamba Mkapa ameisha kutwa na makosa isipokuwa wanasiasa na wanasheria wengi wanakubaliana na KINGA alokuwa nayo dhidi ya mashtaka yoyote akiwa kama rais, na ndilo tatizo tulilokuwa nalo toka mwanzo na mimi nimesema hiyo kinga haiwezi kuwepo upande wa pili wa Mkapa akiwa kama Entreprenuer, na shirika lake limehusika na hujuma za Uchumi hivyo hiyo kinga yake haipo kwa huyu Mkapa mfanyabiashara... Ni sawa na Mkapa aki rape mwanamke tutamhukumu Mkapa mwanamme aliye rape na kwamba kinga yake inahusiana tu na maswala yanayohusiana na kiti chake cha urais ktk kuongoza nchi...Hivyo hata kama ametumia cheo chake cha Urais kufanya alofanya.. Kosa lake litakuwa Rape na abuse of power!.. hivyo kosa la Mkapa ni kuhujumu Uchumi wetu.

Mkuu ukitazama hata kesi ya radar huko Uingereza wamefikia kufanya uchunguzi ambao ulitokana na kuhusika kwa waziri wao mkuu na taasisi za nchi yao acha mbali kutafuta kwa kosa gani..Sisi tumeshindwa hata kufanya uchunguzi tu acha kumsimamisha mahakamani!... Kisha neno kosa kidogo lina mapungufu kiutaalam kwani kosa hutokana na makosa kufanyika wakati hujuma sio kosa ni shitaka la makusudi..

Kuhusiana na taaluma ya Utabibu, mkuu wangu unachoshindwa kuelewa ni kwamba sisi tunachotaka ni mgonjwa wetu kufika hospital tunafahamu anaumwa Maleria na vipimo vyote vimeonyesha kuwa mgonjwa ana Maleria, hakuna mtu anaye suggest ni dawa gani apatiwe isipokuwa tunachoomba ni tiba tu..Sasa anapokuja mtaalam na vitabu vyake na kutwambia kwamba mgonjwa huyu hawezi kutibika kutokana na sheria za hospital hiyo hali dawa na tiba wanazo huoni kama wanataka kutuulia jamaa yetu!..
Hata huyo mhandisi, tunapokea elimu yake ktk kutafuta solution aau njia bora zaidi kutuwezesha kuepuka makosa na hakuna mtu anayepingana na maelekezo ya elimu hiyo kuhusiana na ushauri huo isipokuwa tu elimu butu ambayo waliipata on the plate wakala wakashiba kile walichoandaliwa na wanashindwa kutazama nje ya bun ndio inatupa shida zaidi ktk dunia ya leo ambayo sisi tumetoka ktk Ujamaa ambako hatukuwa na vitu hivi..
Hii ya Dr. Mvungi sio elimu hata kidogo imepitwa na wakati, dunia ya leo elimu inazidi kupanuka kila siku hata virusi (virus) hu adopt dose fulani inatakiwa kubadilisha dose na ingredience according to...
Hata hiyo Chloroquine siku hizi haitibu tena Maleria, usinambie hakuna dawa mkuu!

Mkuu Mkandara,
Mimi nadhani labda tufungue thread nyingine yakuongelea mambo aliyoyafanya Mkapa, huenda litaendana na unavyoandika hapa.

Japokuwa husemi moja kwa moja kuwa Mkapa ashitakiwe kwa kosa gani, lakini unaandika kuwa Mkapa ashitakiwe kama mfanyibiashara...kwa maneno yako yanabeba dhana ya kuwa Mkapa hakuruhusiwa kufanya biashara,

Je, kuna mahali au sheria yeyote iliyomkataza Mkapa asifanye biashara?
Na kama hiyo sheria ipo ni sheria gani na kifungu kipi?

Endapo sheria haikumkataza Mkapa kufanya biashara, je unadhani alitakiwa adanganye kuhusu mahali anapokaa badala ya kusema Ikulu?

Je, una shahidi gani ambao wewe unadhani kuwa sheria fulani zilivunjwa na Mkapa kama mfanyibiashara kama unavyodai wewe? (Taja sheria husika na vifungu vyake
)

Je, huoni kuwa Mkuu Mkandara hoja zako ni kwa sababu tu unamchukia Mkapa na wala huna hoja inayojitosheleza ya kujenga kwa kutumia vifungu halali vya sheria ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Je, unadhani ni sawasawa kulazimisha mtu lazima ashitakiwe hata kama hakuna sheria za halali za kufanya hivyo kwa wakati huu?

Je, leo hii Warioba akiachwa bila ya kupelekwa mahakamani wakati sheria ya kufanya hivyo ipo utaendelea kusherehekea?
 
Pundamilia07,
Kuhusiana na sheria inayomkataza Mkapa kufanya biashara nimekwisha sema kwa mifano ya ndoa na pia nimesema tuchukulie kwamba anaruhusiwa kufanya biashara...Hatumsihaki kwa hilo hata kidogo na wala hilo sio tatizo kubwa kwetu kwa sababu alichokifanya Mkapa ni kuhujumu uchumi - KIWIRA...hata hao kina Jeetu Patel walikuwa na liseni ya kufanya biashara sio makosa..Makosa yao hayatokani na ruksa ya kufanya biashara..halafu sidhani kama makosa ya kuhujumu uchumi yapo ktk vifungu vya sheria za kawaida na kama sikosei ndio maana tuna vyombo maalum kwa kazi hiyo kama TAKUKURU..bila shaka wao wana vigezo tofauti vinavyohusiana na uhujumu Uchumi..Kwa hiyo misingi ya makosa ya Mkapa ni lazima yatazamwe ktk vifungu vinavyoambatana na kuhujumu Uchumi badala ya sheria zinazotulinda watu wote..

Kama Dr. Mvungi, wewe pia unaendelea kubeba hoja ya sheria inayomkataza Mkapa kufanya biashara au kufungua ofisi yake Ikulu kama vile hili ni jambo la kawaida kabisa kwa marais na ukashindwa kutazama kwamba Mkapa kama rais amepewa Kinga kutokana na wadhifa wa kiti chake Ikulu kama rais na sio raia mfanyabiashara ambaye ametumia Power yake kufanikisha madhambi yake..Bila shaka Ikulu ilikuwa ndio address yake wakati akiwa Ikulu na pengine hakuna sheria inayomkataza kufanya hivyo nadhani hili nimekwisha lizungumzia sana huko nyuma na utata wa kumfikisha mahakamani Mkapa kama rais aliyetumia vibaya madaraka yake..

Shitaka kama hili linaweza kuwa na utata kisheria kwa sababu unamshitaki kama rais wakati kosa lake ni kuibia nchi akitumia dhamana aliyopewa..mimi sipo huko tena namtazama Mkapa kama mfanyabiashara aliyehujumu Uchumi wetu kwa kutumia Power aliyokabidhiwa.. sawa sawa na mfano niliokupa hapo juu kuwa Mkapa aki rape mwanamke tutamshtaki kama mwanamme aliye rape na kinga yake haipo kwani kati ya majukumu aliyokabidhiwa kama rais ngono haihusiani kabisa..Sasa huwezi kuniuliza ni wapi sheria inasema Mkapa haruhusiwi kufanya ngono wakati shitaka ni rape, mkuu tunazungumzia kosa la ku rape na kama ametumia power ya kiti chake cha Urais kumlaghai mwanamke hadi afike Ikulu kisha akatumia Ofisi ya Ikulu kufanya machafu hayo, hii inaongeza counts za makosa (offences) ambazo zinaweza kujumlishwa lakini the primary Offence ni ku rape!..Na kama ametumia (power) nguvu za uume wake kumsinda nguvu huyo mwanamke itachukuliwa pia ushahidi kutokana na makovu, nguo au penetration za kimwili na kadhalika...counts za offences zitategemea na yaliyotokea hivyo nachojua mimi kwamba Mkapa ali rape!.. kazi ya kukusanya evidence sio yangu wapo watu wanaolipwa kwa kazi hiyo.

Nitarudia kusema sisi wananchi tunataka afikishwe mahakamani kama mkosa kwa kuhujumu uchumi wetu na Takukuru wanakubali makosa ya Mkapa isipokuwa hawezi kushtakiwa kama raais kwa sababu wananchi wengi wanaweka madai ya Mkapa kutumia vibaya madaraka yake kuwa ndio primary offence..hapo anakingwa na sheria isipokuwa nje ya madaraka yake bila shaka tuna case.

Kuhusiana na sheria unazotaka mimi nizitaje, mkuu nakuomba tena pitia jarida lao PCCB/Takukuru utazame makosa na vifungu vya sheria ambavyo nadhani havipo ktk kitabu cha sheria za mh. Dr Mvungi..ningependa sana Dr. Mvungi kama angezungumzia Uhujumu Uchumi badala ya kuzungumzia zaidi kosa la kufungua ofisi Ikulu. atuambie kama hakuna sheria inayoweza kumfikisha mahakamani Mkapa kulingana na sheria za kuhujumu Uchumi hata kabla ya kuundwa upya kwa Takukuru..
 
Last edited:
Pundamilia07,
Kuhusiana na sheria inayomkataza Mkapa kufanya biashara nimekwisha sema kwa mifano ya ndoa na pia nimesema tuchukulie kwamba anaruhusiwa kufanya biashara...Hatumsihaki kwa hilo hata kidogo na wala hilo sio tatizo kubwa kwetu kwa sababu alichokifanya Mkapa ni kuhujumu uchumi - KIWIRA...hata hao kina Jeetu Patel walikuwa na liseni ya kufanya biashara sio makosa..Makosa yao hayatokani na ruksa ya kufanya biashara..halafu sidhani kama makosa ya kuhujumu uchumi yapo ktk vifungu vya sheria za kawaida na kama sikosei ndio maana tuna vyombo maalum kwa kazi hiyo kama TAKUKURU..bila shaka wao wana vigezo tofauti vinavyohusiana na uhujumu Uchumi..Kwa hiyo misingi ya makosa ya Mkapa ni lazima yatazamwe ktk vifungu vinavyoambatana na kuhujumu Uchumi badala ya sheria zinazotulinda watu wote..

Kama Dr. Mvungi, wewe pia unaendelea kubeba hoja ya sheria inayomkataza Mkapa kufanya biashara au kufungua ofisi yake Ikulu kama vile hili ni jambo la kawaida kabisa kwa marais na ukashindwa kutazama kwamba Mkapa kama rais amepewa Kinga kutokana na wadhifa wa kiti chake Ikulu kama rais na sio raia mfanyabiashara ambaye ametumia Power yake kufanikisha madhambi yake..Bila shaka Ikulu ilikuwa ndio address yake wakati akiwa Ikulu na pengine hakuna sheria inayomkataza kufanya hivyo nadhani hili nimekwisha lizungumzia sana huko nyuma na utata wa kumfikisha mahakamani Mkapa kama rais aliyetumia vibaya madaraka yake..

Shitaka kama hili linaweza kuwa na utata kisheria kwa sababu unamshitaki kama rais wakati kosa lake ni kuibia nchi akitumia dhamana aliyopewa..mimi sipo huko tena namtazama Mkapa kama mfanyabiashara aliyehujumu Uchumi wetu kwa kutumia Power aliyokabidhiwa.. sawa sawa na mfano niliokupa hapo juu kuwa Mkapa aki rape mwanamke tutamshtaki kama mwanamme aliye rape na kinga yake haipo kwani kati ya majukumu aliyokabidhiwa kama rais ngono haihusiani kabisa..Sasa huwezi kuniuliza ni wapi sheria inasema Mkapa haruhusiwi kufanya ngono wakati shitaka ni rape, mkuu tunazungumzia kosa la ku rape na kama ametumia power ya kiti chake cha Urais kumlaghai mwanamke hadi afike Ikulu kisha akatumia Ofisi ya Ikulu kufanya machafu hayo, hii inaongeza counts za makosa (offences) ambazo zinaweza kujumlishwa lakini the primary Offence ni ku rape!..Na kama ametumia (power) nguvu za uume wake kumsinda nguvu huyo mwanamke itachukuliwa pia ushahidi kutokana na makovu, nguo au penetration za kimwili na kadhalika...counts za offences zitategemea na yaliyotokea hivyo nachojua mimi kwamba Mkapa ali rape!.. kazi ya kukusanya evidence sio yangu wapo watu wanaolipwa kwa kazi hiyo.

Nitarudia kusema sisi wananchi tunataka afikishwe mahakamani kama mkosa kwa kuhujumu uchumi wetu na Takukuru wanakubali makosa ya Mkapa isipokuwa hawezi kushtakiwa kama raais kwa sababu wananchi wengi wanaweka madai ya Mkapa kutumia vibaya madaraka yake kuwa ndio primary offence..hapo anakingwa na sheria isipokuwa nje ya madaraka yake bila shaka tuna case.

Kuhusiana na sheria unazotaka mimi nizitaje, mkuu nakuomba tena pitia jarida lao PCCB/Takukuru utazame makosa na vifungu vya sheria ambavyo nadhani havipo ktk kitabu cha sheria za mh. Dr Mvungi..ningependa sana Dr. Mvungi kama angezungumzia Uhujumu Uchumi badala ya kuzungumzia zaidi kosa la kufungua ofisi Ikulu. atuambie kama hakuna sheria inayoweza kumfikisha mahakamani Mkapa kulingana na sheria za kuhujumu Uchumi hata kabla ya kuundwa upya kwa Takukuru..

Mkuu Mkandara,

Labda sasa nikuulize swali hili,

Je wewe ulikwisha panda kizimbanni kwa kukabiliwa na kosa lolote?

Kama jibu ni ndiyo, ulitumia wakili au ulijitetea mwenyewe?

Je, ulishinda kesi?

Baada ya kujibu swali/maswali hapo juu:

Ni kwanini hauko short and clear kwa swali unaloulizwa?

Nimekuuliza maswali ambayo yanahitaji majibu ya moja kwa moja na wala siyo kuzunguka.

Nilikuuliza unataka Mkapa ashitakiwe kwa kutumia sheria gani?

Kama unahakika na sheria ya uhujumu uchumi, jibu kwa kusema nataka Mkapa ashitakiwe kwa sheria ya uhujumu uchumi na ututajie ni hasa vifungu gani vinahusika. Usifanye majumuisho kwa kusema tu sheria ya uhujumu uchumi bila ya kuleleza ni kwa namna gani itakuwa kwa maana ya vifungu na vipengele. hii ni hoja nzito kwani unatakiwa unapojishughulisha na haki basi kila kitu ukiweke wazi na sawa kwani hata unayemtuhumu kumbuka hana hatia hadi pale anapobainika na makosa.

Hii habari ya kuniambia mimi niende TAKUKURU nadhani si yangu kwani the burden of proof ya madai yako dhidi ya Mkapa bado unayo wewe. Sidhani kama ninahitajika kwenda TAKUKURU kwa ajili ya kukutafutiia majibu.

Now go back kwenye ile posting yangu ya hapo nyuma then tuende hatua kwa hatua.

Nakumbuka kuelezewa at one time kuwa unapotaka kujadili haki dhidi ya mtu au watu wengine, especially unapokuwa kwenye kutoa maoni basi ujaribu kutokuwa bias, vinginevyo biasness itakufumba macho na usiweze kuona ukweli.
 
Hapana,
Mkapa anashutumiwa kwa wizi wa mali ya umma. Anashutumiwa kwa kuhujumu uchumi, anashutumiwa kwa kukiuka taratibu za ofisi ya rais wa Tanzania na anashutumiwa kwa kutumia ofisi aliyoapa kuilinda kikatiba kujijazia mapesa mifukoni na kufanya biashara. Makosa haya katika nchi ya Ghana enzi za Rawlings hukumu yake ilikuwa ni firing squad. Vivyo hivyo na kwa wenzetu China. Siyo kufanya wrong decision. Mwizi wa kuku naye hufanya wrong decision lakini tunajua kinachomjiri anapokamatwa.

But this is Tanzania.....

Great struggles depends on respect to rule of law and not emotions. Ni kweli suala hili na mengineyo mengi emotions zimekuwa mbele zaidi ya ujuvi wa sheria na wakati mwengine hata maslahi ya taifa ikiwemo maendeleo ya mfumo wa kidemokrasia...

Mvungi ana matatizo yake lakini kwa hili naamini ameargue vizuri. Labda tujiulize kwa nini this time Mvungi has become a more legal expert which he is than just another mediocre politician kama ambavyo tumemzoea...

Tanzanianjema
 
Back
Top Bottom