BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Wajapani wanaojitolea wamebubujikwa na machozi baada ya kujionea hali halisi ktk shule walizokua wakifundisha.waliyasema hayo ktk ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma.Wamesikitishwa sana na serikali kutothamini watoto katika kuwapa elimu,afya na maji.Wanashangaa shule ipo karibu na ziwa lakini hakuna huduma ya maji kijijini.walimu wengi hawana vyeti wala ujuzi wa kufundisha.source gazeti habari leo!