Kuchaguliwa kwa Makamba kuwa mbunge wa kuteuliwa na Rais sio zaidi ya kuwakilisha chama na kuwa msimamizi wa wabunge wa CCM ndani ya bunge!
Kama katibu mkuu wa chama endapo itatokea sitofahamu kati ya serikali na wabunge! Then Makamba kama mbunge na Katibu Mkuu wa chama anatakiwa ku-play part! Hakuna zaidi ya hilo!
Thats why tunamuona Makamba sio mchangiaji katika ukumbi wa bunge!
Kama katibu mkuu wa chama endapo itatokea sitofahamu kati ya serikali na wabunge! Then Makamba kama mbunge na Katibu Mkuu wa chama anatakiwa ku-play part! Hakuna zaidi ya hilo!
Thats why tunamuona Makamba sio mchangiaji katika ukumbi wa bunge!