Matatizo ya Unyumba

Keykey

JF-Expert Member
Dec 1, 2006
3,250
740
Hii nimeikuta kule kwa MICHUZI, nikaona niilete hapa ukumbini!

Habari za mishughuliko,

najua hii ni blog ya jamii,nina swali langu napenda niliweke kwenywe blog hii pendqa.

Tangu niolewe huu ni mwaka wa 13 kwa kweli kwa sasa haya mambo ya unyumba siyapendi hata kidogo,na mambo mengine kuyauliza naona tabu,lakini nimeamua niyaulizie kwako.

jee jambo kama hili linawakumba wanawake wengine wowote au ni mimi ndie nina matatizo. Kwani kwa kweli huyo mume kwa sasa namuona kama ni rafiki wa kawaida tu. na hayo mambo ya unyumba miaka nenda miaka rudi natamani yawe na mwisho wake.

Jee kwa walio oa jambo kama hilo linawatokea kwa wake zenu?. Na kwa upande wa mwanamume, mwisho wake ni umri wa miaka mingapi mpaka hiyo hamu imuondoke?.Umri wangu ni miaka 35,na tumejaaliwa kupata watoto 3.

Najua kuna watu watanikandia lakini kwa kweli nipo serious na hili swali. Na natamani tungekuwa kama mwanzo wa ndoa yetu,kwani mwanzo nilikua napenda,na kwa upande mwengine namuonea huruma kwani yeye anataka lakini mie sitaki hata kusikia jambo hilo.
{tafadhali nakuomba usitoe email yangu.}
nasubiri mchango wenu.
Mdau
<LI id=916072341549569755>Tarehe May 11, 2009 11:44 AM, Mtoa Maoni:
anon16-rounded.gif
Anonymous

Aiseee hii yako nafikiri ni saikolojiko tatizo lakini linatibika kama upo tayari kuirudia hali yako ya mwanzo......i knw the way you feel about it.Mbije,A-kafanabo




<LI id=8062171788590111254>Tarehe May 11, 2009 11:45 AM, Mtoa Maoni:
anon16-rounded.gif
Anonymous

...Kupoteza hamu ya tendo la ndoa na mumeo kwa umri wa 35 yrs in maana unatembea nje ya ndo na kijana mdogo zaidi ya mmeo, nakushauri uache mara moja hiyo tabia then penzi lako na mumeo litarudi kama kawaida.

<LI id=7113467863878173430>Tarehe May 11, 2009 11:59 AM, Mtoa Maoni:
anon16-rounded.gif
Anonymous

Je endapo kama wewe hujisikii, hutaki kabisa kusikia hiyo ishu kutoka kwa mumeo, upo tayari aende kuchapa nje?


Upo tayari achape nje, kwa siri bila kuathiri mahusiano yenu ya ndoa? Bila kuwepo dalili zozote za kukudhalilisha?

Upo tayari kutoanza kufuatilia nyendo zake za nje? mfano simu, etc?

Kama majibu ya maswali haya yote ni ndiyo, basi tatizo utakuwa umelitatua.

Kama una jibu mojawapo ambalo ni hapana, basi itabidi ujitahidi kumridhisha mumeo.

<LI id=5259257100471048627>Tarehe May 11, 2009 12:37 PM, Mtoa Maoni:
anon16-rounded.gif
Anonymous

Pole sana, lkn kwa informal research findings, most marriages ends-up or start problems at the age of ten to thirteen yrs. Chanzo kimojawapo ni ukomo kwa tendo takatifu na mambo yahusianayo na mahaba. Wewe sio wa kwanza jipe moyo zungumza na mwenzio mjue sababu kuliko kuishi kama 'juma na roza'


<LI id=3749657591061151649>Tarehe May 11, 2009 1:12 PM, Mtoa Maoni:
anon16-rounded.gif
bonge

pole dada[mama],ukweli hayo usemayo yapo na yanaumiza sana kwa m.mme ambaye anampenda mke wake;(only feeling with his wife), lakini inakuwa ni mateso sana kwa mume,mimi nimeoa na mtoto mmoja ndani ya ndoa miaka 2,mke wangu hana feeling na mimi kabisa naumia sana,na sio kama yeye ni muhuni kama mchangiaji mmoja alivyosema,ila kabla ya ndoa tulikuwa tunapendana sana na alikkuwa na feeling kweli .pia mimi kama m.mume sijui cha kufanya, ila ningeshauri tulichukulie positive hili tatizo na tuweze kupata msaada sisi waume tunaoteseka na tunawapenda wake zetu,michuzi pia na wewe ufanye utafiti kwenye hili


 
pole kwa mwenye tatizo hilo, nadhani wengi watahisi hii ni menopause lakini inawezeka siyo kwani menopause ina involve vitu vingi zaidi na hasa mabadiliko katika mzunguko wa mwezi kwa hiyo ni vema mwenye tatizo hili ajiangalie mambo mengi kidogo.

mfano hapo chini ni dalili chache za menopause hii inaweza kuwa eraly menopause au menopause ya aina yeyote!!

hot flushes and night sweats
aches and pains
crawling or itching sensations under the skin
headaches
vaginal dryness
reduced sex drive (libido)
urinary frequency
tiredness
irritability
depression
sleeping difficulty
lack of self esteem
forgetfulness

lakini kunauwezekan mkubwa hali hiyo kuwa ni saikolojia tu pana vitu vimechangia ikatokea, na kubwa kwa ndoa changa ambazo hazina migogoro na wote mnajiamini kuwa hakuna aliyepata kitu tofauti akaona kuwa mwenzie hafai, maana onja onja pia husababisha kukosa hamu kabisa na wala kujihis kutomuhitaji mwenzio hii yaweza tokea pande zote lakini kama si hivyo inawezekana pana sababu ambazo zimekuathiri kisaiklojia kama vile:

UZAZI
hali hii hutokea kwa familai nyingi wanapopata watoto kwa maana mama anakuwa na mapenzi makubwa kwa watoto na anakuwa karibu nao sana kushinda alivyo na ukaribu na mume, hali hii ni hatari na pengine ni chanzo cha wanaume wengi kutafuta nyumba ndogo, ukizingatia desturi zetu ambapo kitanda kimoja inabidi mlale familia nzima (baba, mama na watoto pengine 2) katika hali hiyo mama mara nyingi anakuwa na jukumu kubwa la kuangalia watoto hivyo anakuwa hana concentration ya tendo lile,

na unaweza kuta hata weekend au jioni mnaporejea muda mwingi mnachukua kucheza na watoto nk hivyo mnakosa muda wakuwa 2 na kujiandaa na tendo hilo,

hali kadhalika maandalizi duni kutokana na msongo wa mambo kichwani mara zote mnakuwa busy na shughuli za kazi, maendeleo na majukumu ya familia, hakuna maandalizi, ukipigiwa simu au sms basi kuna jambo unaulizwa na si kupata japo sweet words ambazo itakufanya uvute hisia ya mapenzi

.....
 
Kwanza cha muhimu kujua ni hao watoto watatu aliwazaa vipi, manake kama njia imejaa viwembe sometimes it becomes terrible na hamu hupotea kabisa. Pili, with time staili pia inabidi ziende na wakati, sio kung'ang'ania mbinu zile zile mlizokutana nazo wakati mnaanza, kwa vile hii hufanya mchezo kuwa unaboa. Sometimes wanaume wanashindwa kuleta staili mpya nyumbani manake wife atauliza umezitoa wapi, ukisema kwenye movie atakwambia kalete niione, na kumwambia nimeipata uswazi haiwezekani. Tatu, hiyo ni kawaida kautafiti kameonyesha wanawake wengi wakifikisha miaka kumi ndani ya ndoa hujisikia kuchoka kiaina, lakini baada ya muda mambo hurudia kwenye form....!
 
Back
Top Bottom