kholo
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 413
- 75
Ndugu wana jf, habarini za kutwa nzima! kwanza kabisa naomba niwapongeze kwa majukumu ya uelimishaji humu jamvini. ama baada ya salam naomba msaada wako wewe mdau wa jamvi hili namna n'takavyoweza kutatua hili tatizo;
Tatizo kuu nililonalo in "MENO", yanatoboka pia yanauma hivyo naomba mnisaidie nifanyaje ili kurecover maana mengine
yamechimbika kiasi kwamba hata kung'oa haiwezekani, ama unamfaham daktari au hospitali ye yote spesho kwa magonjwa ya meno basi naomba unifahamishe. Natanguliza shukrani wakuu wangu
Tatizo kuu nililonalo in "MENO", yanatoboka pia yanauma hivyo naomba mnisaidie nifanyaje ili kurecover maana mengine
yamechimbika kiasi kwamba hata kung'oa haiwezekani, ama unamfaham daktari au hospitali ye yote spesho kwa magonjwa ya meno basi naomba unifahamishe. Natanguliza shukrani wakuu wangu