Nina matatizo ya meno yananiuma sana, hayajatoboka ni mazima kabisa yanauma tu na wakati mwingine nasikia yanatingishika nimeshamuona daktari akaniangalia angalia hapo, akanishauri dawa za kupigia mswaki lakini kila mara tatizo linajirudia mwenye kujua naomba anisaidie, pia nimeshatumia dawa ya maji za kupigia mswaki za gnld