Binafsi matokeo ya mtoto wangu yana walakini hasa somo la HISABATI. Nitapenda kuona karatasi zake zilizosahihishwa. HISABATI wamempa maksi 50 kati ya 100. Kwa jinsi alivyo na alivyofanya Mtihani naamini kuwa alipata alama 100 katika HISABATI. Haingiii akilini kuwa eti alishindwa kuvuka maksi 50 katika HISABATI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.